Bunge lashauri msamaha wa kodi kwenye sukari kufutwa
SERIKALI imeshauriwa kufuta misamaha ya kodi katika sukari inayoagizwa kuziba pengo, na pia isiendelee kupandisha ushuru katika bidhaa za sigara, bia, mvinyo, vinywaji vikali na baridi.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi22 Dec
Kufutwa kodi ya simu, Bunge aibu tupu
10 years ago
Habarileo09 Jan
TAWNET wataka uchunguzi wakwepa kodi kwenye sukari kuharakishwa
CHAMA cha Waandishi wa Habari za Kodi Tanzania (TAWNET) kimeitaka Serikali kuharakisha uchunguzi dhidi ya wafanyabiashara wanaoingiza sukari kimagendo na kukwepa kodi.
9 years ago
Mwananchi04 Jan
Bakwata yataka ufafanuzi msamaha wa kodi
9 years ago
Mwananchi07 Dec
TRA yaibana Bakwata msamaha wa kodi
10 years ago
Tanzania Daima16 Nov
TPC chaomba msamaha wa kodi vifaa vya umwagiliaji
KIWANDA cha sukari (TPC) kilichopo wilayani Moshi, mkoani Kilimanjaro, kimeiomba msamaha wa kodi katika uingizaji wa vifaa vya umwagiliaji ili waweze kuvinufaisha baadhi ya vijiji vinavyozunguka kiwanda hicho. Akizungumza na...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-x19a3hd2EvM/VcAseKo150I/AAAAAAAHts0/RISIqPIdMyE/s72-c/dar%252Bport.jpg)
MAKALA YA SHERIA: IJUE NAMNA YA KUPATA MSAMAHA WA KODI NA USHURU BANDARINI.
![](http://4.bp.blogspot.com/-x19a3hd2EvM/VcAseKo150I/AAAAAAAHts0/RISIqPIdMyE/s640/dar%252Bport.jpg)
5 years ago
MichuziSHERIA YA KODI YATOA MSAMAHA KWA MAPATO YASIYOZIDI MILIONI 4 KWA MWAKA
10 years ago
Mwananchi12 Oct
Bunge la Katiba ni Sukari, Shubiri
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-7HckCxKdxYw/U9pfN_I4oKI/AAAAAAAF8DU/NPIuD2Gg21U/s72-c/ekerege-dini+ya+ufisadi.jpg)
Menejimenti ilikosea kutoa msamaha wa kodi kwa Kampuni ya Jaffar Mohamed Ali Garage na Kampuni Quality Motors - Charles Ekerege
![](http://4.bp.blogspot.com/-7HckCxKdxYw/U9pfN_I4oKI/AAAAAAAF8DU/NPIuD2Gg21U/s1600/ekerege-dini+ya+ufisadi.jpg)
MKURUGENZI wa Shirika la Viwango Nchini (TBS), Charles Ekerege, amekiri mahakamani kwamba Menejimenti ilikosea kutoa msamaha wa kodi kwa Kampuni ya Jaffar Mohamed Ali Garage na Kampuni Quality Motors na hivyo, na kwamba Bodi ya Wakurugenzi ilitoa onyo kali na kuitaka isirudie kosa hilo.
Aidha, ameeleza kuwa hakutoa msamaha huo yeye binafsi bali menejimenti iliyoketi chini ya wakuu wa idara sita za shirika hilo ilipitisha na kwamba kutokana na kampuni hizo mbili...