SHERIA YA KODI YATOA MSAMAHA KWA MAPATO YASIYOZIDI MILIONI 4 KWA MWAKA
Na. Josephine Majura na Saidina Msangi, WFM, DodomaSerikali imeeleza kuwa Sheria ya Kodi imetoa msamaha wa kodi kwa wafanyabiashara ikiwa ni pamoja na wastaafu ambao mapato yao kwa mwaka hayazidi Shilingi milioni nne.Hayo yameelezwa jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Ashatu Kijaji, alipokuwa akijibu swali la msingi la Mbunge wa Lupembe, Mhe. Joram Ismael Hongoli, aliyetaka kujua sababu za Serikali kutoweka utaratibu wa kutowatoza kodi wastaafu ambao biashara zao hazizidi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog29 Jul
Serikali yasaini Mkataba wa kukusanya zaidi ya Sh. milioni 12 kupitia mapato ya ndani kwa mwaka 2015/16
Baadhi ya viongozi na watendaji wa Wizara ya Fedha na TRA wakati wa hafla ya kusaini Mkataba wa Makubaliano ya kukusanya mapato ya ndani kwa mwaka wa fedha 2015/2016 ambayo yanakusanywa kwa mara ya kwanza nchini.(Picha na Eleuteri Mangi-MAELEZO).
Na Eleuteri Mangi- MAELEZO
Serikaki imesainiana Mkataba wa Makubaliano ya kukusanya Sh. Milioni 12,362,969 za mapato ya ndani kwa mwaka wa fedha 2015/2016 ambayo yanakusanywa kwa mara ya kwanza nchini.
Mkataba huo wa makubaliano umesainiwa leo...
11 years ago
Michuzi16 Jun
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-x19a3hd2EvM/VcAseKo150I/AAAAAAAHts0/RISIqPIdMyE/s72-c/dar%252Bport.jpg)
MAKALA YA SHERIA: IJUE NAMNA YA KUPATA MSAMAHA WA KODI NA USHURU BANDARINI.
![](http://4.bp.blogspot.com/-x19a3hd2EvM/VcAseKo150I/AAAAAAAHts0/RISIqPIdMyE/s640/dar%252Bport.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-V6DO7O2Li-M/XtNkCs7Jp-I/AAAAAAALsGQ/bChG-4D2RycpZZyMhDa0UFbIA3JJJ-JUgCLcBGAsYHQ/s72-c/Sirro.jpg)
IGP SIRRO AWATAKA WANAOACHIWA KWA MSAMAHA WA RAIS KUFUATA SHERIA ZA NCHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-V6DO7O2Li-M/XtNkCs7Jp-I/AAAAAAALsGQ/bChG-4D2RycpZZyMhDa0UFbIA3JJJ-JUgCLcBGAsYHQ/s640/Sirro.jpg)
IGP Sirro amesema hayo akiwa kwenye ziara ya ukaguzi mkoani Singida ambapo alizungumza na Polisi Kata waliopo kwenye mkoa huo na kuwataka kuendelea kushirikiana na wananchi katika mapambano dhidi ya uhalifu ikiwa pamoja na kutoa elimu kwa wananchi kuacha...
11 years ago
Michuzi12 Feb
10 years ago
Habarileo24 Jan
Bandari kuingiza mapato Sh trilioni 1 kwa mwaka
MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), Madeni Kipande amesema bandari hiyo ina uwezo wa kuingiza kipato kinachofikia Sh trilioni moja kwa mwaka, kama baadhi ya vikwazo vitashughulikiwa.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-7HckCxKdxYw/U9pfN_I4oKI/AAAAAAAF8DU/NPIuD2Gg21U/s72-c/ekerege-dini+ya+ufisadi.jpg)
Menejimenti ilikosea kutoa msamaha wa kodi kwa Kampuni ya Jaffar Mohamed Ali Garage na Kampuni Quality Motors - Charles Ekerege
![](http://4.bp.blogspot.com/-7HckCxKdxYw/U9pfN_I4oKI/AAAAAAAF8DU/NPIuD2Gg21U/s1600/ekerege-dini+ya+ufisadi.jpg)
MKURUGENZI wa Shirika la Viwango Nchini (TBS), Charles Ekerege, amekiri mahakamani kwamba Menejimenti ilikosea kutoa msamaha wa kodi kwa Kampuni ya Jaffar Mohamed Ali Garage na Kampuni Quality Motors na hivyo, na kwamba Bodi ya Wakurugenzi ilitoa onyo kali na kuitaka isirudie kosa hilo.
Aidha, ameeleza kuwa hakutoa msamaha huo yeye binafsi bali menejimenti iliyoketi chini ya wakuu wa idara sita za shirika hilo ilipitisha na kwamba kutokana na kampuni hizo mbili...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-mE_OU0Zx7Nc/Vnk580hlq2I/AAAAAAADEDc/HO-QXWm3EJU/s72-c/New%2BPicture%2B%25284%2529.png)
TASAF YATOA VYETI KWA WAFANYAKAZI WAKE BORA WA IDARA ZA TAASISI HIYO KWA MWAKA 2015.
![](http://4.bp.blogspot.com/-mE_OU0Zx7Nc/Vnk580hlq2I/AAAAAAADEDc/HO-QXWm3EJU/s640/New%2BPicture%2B%25284%2529.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-o3ZU2zcyoZw/Vnk59pX1dKI/AAAAAAADEDk/KWAvlbECreg/s640/New%2BPicture%2B%25285%2529.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-XMMMmwc7rZM/Vnk5-WXrjGI/AAAAAAADEDs/xLBLCEJgX6s/s640/New%2BPicture%2B%25286%2529.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-7YltzaJCABE/Vnk5_DAgl3I/AAAAAAADED0/4kbPtENNmlo/s640/New%2BPicture.png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-5cM1HpqKa7E/Vnk6xiyXnII/AAAAAAADEEA/JJTXeX0SYdI/s640/New%2BPicture%2B%25287%2529.png)
Wataalamu waelekezi wakiwa katika picha ya pamoja na Menejimenti ya TASAF.
PICHAZ AIDI BOFYA HAPA
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/PUBYnj03UfY/default.jpg)
WAZIRI MPANGO AKIWASILISHA BUNGENI HOTUBA YA MAKADILIO YA MAPATO KWA MWAKA 2020/21
1.0 TANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kutokana na taarifa iliyowasilishwa ndani ya Bunge lako Tukufu na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti, iliyochambua bajeti za mafungu ya Wizara ya Fedha na Mipango pamoja na Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi kwa mwaka 2020/21, naomba kutoa hoja kwamba, Bunge lako Tukufu sasa lipokee na kujadili Taarifa ya Utekelezaji wa Mpango na Bajeti ya Wizara ya Fedha na Mipango kwa mwaka 2019/20 na kuidhinisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya mafungu saba (7)...