Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kufutwa kodi ya simu, Bunge aibu tupu

>Hatua ya Rais Jakaya Kikwete kutia saini hati ya dharura ili Muswada wa Fedha wa mwaka 2013 ufanyiwe marekebisho na kuondoa tozo ya kodi kwa laini za simu imeliacha Bunge katika fadhaa na fedheha kubwa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Bunge lashauri msamaha wa kodi kwenye sukari kufutwa

SERIKALI imeshauriwa kufuta misamaha ya kodi katika sukari inayoagizwa kuziba pengo, na pia isiendelee kupandisha ushuru katika bidhaa za sigara, bia, mvinyo, vinywaji vikali na baridi.

 

10 years ago

GPL

MASOGANGE AIBU TUPU SAUZ

Na Erick Evarist/Ijumaa
MIEZI michache tangu ahamishie makazi yake nchini Afrika Kusini, modo aliyetikisa Bongo, Agnes Gerald ‘Masogange’ ametia aibu kutokana na kudaiwa ‘kujiuza’ kwa njia ya mtandao nchini humo. Modo anayetikisa Bongo, Agnes Gerald ‘Masogange’. Chanzo makini kilicho karibu na staa huyo kimepenyeza ubuyu kuwa, Masogange yupoyupo tu, kazi kujipiga picha za utupu na...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Bunge la Katiba majeraha tupu’

Mbunge wa Moshi Mjini, Philemon Ndesamburo amesema Bunge la Katiba litawaachia Watanzania majeraha ya mgawanyiko ambayo itachukua muda mrefu kuyatibu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bunge la Katiba vituko tupu

MWENYEKITI wa CHADEMA, Freeman Mbowe ambaye pia ni mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, jana alinusuru mchakato wa uchaguzi wa mwenyekiti wa muda baada ya kuibuka vituko. Mbowe katika ushauri...

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali yahamisha kodi ya simu

>Serikali imeondoa kodi ya kadi za simu iliyopitishwa na wabunge katika Mkutano wa 13 wa Bunge ambayo ililalamikiwa na wadau na watumiaji wa simu nchini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kodi kubwa za simu zinaongeza gharama

WAKATI bajeti ya serikali kwa mwaka wa fedha 2014/15 ikitarajiwa kuwasililishwa bungeni   kesho, masikio ya Watanzania wengi yameelekezwa huko yakitaka kusikia kama italeta ahueni au itaongeza gharama za maisha. Katika...

 

11 years ago

Mwananchi

Rais asaini muswada kuondoa kodi ya simu

Rais Jakaya Kikwete ametia saini hati ya dharura (Certificate of Urgency) ili Muswada wa Fedha wa Mwaka 2013 ufanyiwe marekebisho ya kuondoa tozo ya kodi kwa kadi za simu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hii ni aibu ya Bunge la Katiba

NIMESHAWISHIKA kuandika mtazamo huu kutokana na kushindwa kuwaelewa watu wanaoitwa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba. Sina shaka na Rais Jakaya Kikwete kuwateua wajumbe hao, lakini kwa matendo yao nalazimika...

 

11 years ago

GPL

NI AIBU ILIOJE BUNGE LA KATIBA!

NIMSHUKURU sana Mwenyezi Mungu kwa mara nyingine kwa kutuwezesha kuwa pamoja tena leo, tukijadili mambo muhimu ya taifa letu, ambalo kwa sasa lipo katika mchakato wa kupitia Rasimu ya Katiba, ambao kama utakwenda vizuri, nchi yetu itakuwa na katiba mpya wakati wa Uchaguzi Mkuu ujao. Zaidi ya Watanzania wenzetu 640 wapo katika majengo ya Bunge mjini Dodoma, wakiifanya kazi hiyo muhimu kabisa, ambayo inahitaji umakini wa hali ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani