Hii ni aibu ya Bunge la Katiba
NIMESHAWISHIKA kuandika mtazamo huu kutokana na kushindwa kuwaelewa watu wanaoitwa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba. Sina shaka na Rais Jakaya Kikwete kuwateua wajumbe hao, lakini kwa matendo yao nalazimika...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0bfNFAOzL1Q7-OCmiUpPRcmEbOyFz5oWNi5q9lcjt97czzkS6QksYM*P*Pcp36RvtlWzqEdtL70siWglvIWlm1mKgQfd7AlR/bunge.jpg?width=650)
NI AIBU ILIOJE BUNGE LA KATIBA!
11 years ago
Tanzania Daima20 Feb
Aibu wajumbe Bunge la Katiba kulalamikia posho
MIJADALA ya siku mbili tu tangu Bunge Maalumu la Katiba lilipoanza kikao chake mjini Dodoma, inatia shaka kama kweli wawakilishi hao walioteuliwa na rais watatimiza lengo ambalo Watanzania wanalitarajia la...
11 years ago
Mwananchi13 Apr
Isingekuwa sheria hii, mambo yangevurugika Bunge la Katiba
11 years ago
Mwananchi07 Aug
Bunge la Katiba litakuja na mpya gani safari hii?
11 years ago
Mwananchi20 Feb
Hii ndiyo timu ya kufuatilia posho za wajumbe wa #Bunge la #Katiba
10 years ago
Mtanzania03 Nov
Butiku: Hii ni siku ya aibu
Baada ya vurugu hizo kuisha Jaji Warioba hakurejea na badala yake Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku, alisimama na kuiita siku ya aibu kwa Watanzania.
Alisema tukio la vurugu ndani ya ukumbi wa mdahalo huo limeshuhudiwa na Watanzania nchi nzima.
“Baadhi ya wahuni waliofanya tukio hilo tunawatambua hivyo katika mikutano yetu ijayo hatutawaruhusu kushuhudia midahalo yetu,” alisema.
Butiku alisema kuwa tukio hilo halitakuwa mwisho wa kuendelea kwa midahalo ya...
10 years ago
Michuzi04 Sep
TAARIFA YA WAWAKILISHI WA TAASISI ZA DINI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA TOKA WAJUMBE 201 KUHUSU MWENENDO WA SHUGHULI ZA BUNGE MAALUM LA KATIBA
9 years ago
Raia Tanzania21 Aug
Aibu hii Dar mpaka lini?
TAKRIBAN watu watano wameripotiwa kufa kwa ugonjwa wa kipindupindu wilayani Kinondoni, Dar es Salaam, huku wengine 34 wakiugua ugonjwa huo.
Kwa mujibu wa taarifa, wagonjwa hao wanatoka maeneo ya Kijitonyama, Kimara, Manzese, Tandale, Saranga, Makumbusho, Kimara na Mwananyamala.
Imezoeleka ugonjwa huu kuibuka wakati wa msimu wa mvua kutokana na mazingira kwa kipindi hicho kuwa machafu kwa sababu ya majitaka yanayozagaa ovyo mitaani.
Hata hivyo, kipindupindu ni ugonjwa...