Isingekuwa sheria hii, mambo yangevurugika Bunge la Katiba
Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, ibara ya 26 kifungu kidogo cha pili kwa sasa inatajwa kuwa kikwazo kikubwa kilichowekwa kwa kundi lenye wafuasi wengi kuamua kila kitu bungeni.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo09 Mar
Mambo magumu Bunge la Katiba
KURA ya siri au ya wazi ambayo jana ilikuwa ipatiwe ufumbuzi na kamati ya mashauriano, imeshindikana tena kwa kile kinachoelezwa kuwa wajumbe wa kamati hiyo kushindwa kuafikiana. Eneo lingine ambalo ni moto kwa Bunge Maalumu ni juu ya utaratibu wa Bunge hilo kufanya uamuzi ambao rasimu inaelekeza kuwa ili hoja au ibara ipite ni lazima iungwe mkono na wajumbe theluthi mbili kutoka Bara na theluthi mbili kutoka Visiwani.
10 years ago
Mwananchi21 Sep
Mambo kumi yaliyotikisa Bunge la Katiba
10 years ago
Mwananchi21 Aug
Mambo manne magumu Bunge Maalumu la Katiba
11 years ago
Mwananchi25 Mar
Katiba ije na sheria ya Bunge kuidhinisha mikataba yote
11 years ago
Tanzania Daima01 Mar
Hii ni aibu ya Bunge la Katiba
NIMESHAWISHIKA kuandika mtazamo huu kutokana na kushindwa kuwaelewa watu wanaoitwa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba. Sina shaka na Rais Jakaya Kikwete kuwateua wajumbe hao, lakini kwa matendo yao nalazimika...
10 years ago
MichuziKAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Katiba,sheria na Utawala yaridhishwa na miradi ya TASAF Mbarali
Wakizungumza na walengwa hao katika kijiji cha Madabaga wabunge hao wameonyesha kuridhishwa na mafanikio makubwa yaliyoanza kupatikana baada ya walengwa kupata fedha chini ya utaratibu wa uhawilishaji fedha...
11 years ago
Mwananchi07 Aug
Bunge la Katiba litakuja na mpya gani safari hii?
11 years ago
Mwananchi20 Feb
Hii ndiyo timu ya kufuatilia posho za wajumbe wa #Bunge la #Katiba
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-M8-AdoWky8g/UuuNMuwcfwI/AAAAAAACZsU/VFk62pyec08/s72-c/New+Picture.png)
Ziara ya Kamati ya kudumu ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala bora yatinga Makao makuu ya TASAF
![](http://2.bp.blogspot.com/-M8-AdoWky8g/UuuNMuwcfwI/AAAAAAACZsU/VFk62pyec08/s1600/New+Picture.png)
Kamati ya kudumu ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala bora imefanya ziara ya kikazi katika Makao makuu ya TASAF jijini Dar es Salaam ili kupata taarifa za utekelezaji wa Mpango wa Kuzinusuru Kaya Maskini na zilizo katika Mazingira hatarishi unaotekelezwa chini ya TASAF...