Mambo magumu Bunge la Katiba
KURA ya siri au ya wazi ambayo jana ilikuwa ipatiwe ufumbuzi na kamati ya mashauriano, imeshindikana tena kwa kile kinachoelezwa kuwa wajumbe wa kamati hiyo kushindwa kuafikiana. Eneo lingine ambalo ni moto kwa Bunge Maalumu ni juu ya utaratibu wa Bunge hilo kufanya uamuzi ambao rasimu inaelekeza kuwa ili hoja au ibara ipite ni lazima iungwe mkono na wajumbe theluthi mbili kutoka Bara na theluthi mbili kutoka Visiwani.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi21 Aug
Mambo manne magumu Bunge Maalumu la Katiba
11 years ago
Habarileo17 Feb
Maswali magumu Bunge la Katiba
WAKATI wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wakijikusanya mjini Dodoma leo, kuanza safari ya siku 70 mpaka 90 ya kuwapatia Watanzania Katiba mpya, wasomi zaidi ya 100 wanakutana Dar es Salaam, kujibu maswali magumu yanayotakiwa kupatiwa ufumbuzi wa mwisho na Bunge hilo.
10 years ago
Vijimambo29 Sep
BUNGE MAALUM LA KATIBA:Maamuzi magumu leo
![](http://www.ippmedia.com/images/frontend/headline_bullet.jpg)
![](http://www.ippmedia.com/images/frontend/headline_bullet.jpg)
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Samuel-Sita-September29-2014.jpg)
Hatua ya upigaji kura itakayohitimishwa Alhamisi wiki hii na Ijumaa kutunga sheria ya kipindi cha mpito kabla ya katiba kuanza kutumika, inafikiwa baada ya Bunge hilo kutumia zaidi ya...
10 years ago
KwanzaJamii29 Sep
MAAMUZI MAGUMU BUNGE LA KATIBA, KURA KUPIGWA HADI ALHAMISI
10 years ago
Mwananchi21 Sep
Mambo kumi yaliyotikisa Bunge la Katiba
11 years ago
Mwananchi13 Apr
Isingekuwa sheria hii, mambo yangevurugika Bunge la Katiba
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Ac5FLsmlzmM/UzMwPM9njBI/AAAAAAAFWro/4iiweQTmQuQ/s72-c/unnamed+(11).jpg)
Pinda awataka wajumbe wa bunge maalum kuepuka mivutano, wazingatie mambo muhimu kupata katiba mpya
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ac5FLsmlzmM/UzMwPM9njBI/AAAAAAAFWro/4iiweQTmQuQ/s1600/unnamed+(11).jpg)
10 years ago
Raia Tanzania08 Jul
Mkude: Bondeni mambo magumu
KIUNGO mkabaji wa Simba Jonas Mkude, aliyekuwa majaribio ya wiki mbili Afrika Kusini, kwenye klabu ya Bidvest Witts, amesema mazoezi ya timu hiyo ni magumu, toafuti na alivyozoea akiwa na klabu yake.
Mkude, aliyerejea nchini na kujiunga na klabu yake ya Simba alisema, kwa siku walikuwa wakifanya mazoezi ya saa nne bila kupumzika.
Akizungumza na Raia Tanzania, kiungo huyo alisema mazoezi ya nchini humo yanahitaji mchezaji ajiandae kwa vitu vingi ikiwemo hali ya hewa kwa mchezaji...
10 years ago
Habarileo06 May
Mambo magumu bajeti Maliasili
WIZARA ya Maliasili na Utalii imeomba kuongezewa muda wa kufanyia marekebisho maagizo ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maliasili na Utalii iliyotaka wizara hiyo kutekeleza maagizo, ikiwemo utekelezaji wa tozo mpya za viingilio kwenye hifadhi ya Taifa.