MAAMUZI MAGUMU BUNGE LA KATIBA, KURA KUPIGWA HADI ALHAMISI
Na Emmanuel Lengwa Hatimaye Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba (BMK) leo wanaanza kufanya maamuzi magumu kwa kupiga kura yenye lengo la kupitisha rasimu ya Katiba inayopendekezwa huku kukiwa na taarifa kuwa huenda masuala kadhaa likiwamo theluthi mbili yakaikwamisha. Hatua ya upigaji kura itakayohitimishwa Alhamisi wiki hii na Ijumaa kutunga sheria ya kipindi cha mpito kabla ya katiba kuanza kutumika, inafikiwa baada ya Bunge hilo kutumia zaidi ya siku 130 mjini Dodoma wakitunga...
KwanzaJamii
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo29 Sep
BUNGE MAALUM LA KATIBA:Maamuzi magumu leo
![](http://www.ippmedia.com/images/frontend/headline_bullet.jpg)
![](http://www.ippmedia.com/images/frontend/headline_bullet.jpg)
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Samuel-Sita-September29-2014.jpg)
Hatua ya upigaji kura itakayohitimishwa Alhamisi wiki hii na Ijumaa kutunga sheria ya kipindi cha mpito kabla ya katiba kuanza kutumika, inafikiwa baada ya Bunge hilo kutumia zaidi ya...
10 years ago
Vijimambo23 Sep
Bunge la Katiba:Kura kupigwa ughaibuni
![](http://api.ning.com/files/1zruj0PgXfiVqWmhTz7EkpJpSEdEJcu19PxRoRgM4slac27lAmPmI7j8XI0bw4BOC4H0Yr5huqmS7vzYVKVcOuxNyx6noB4x/RaisahutubiaBungelaKatiba1.jpg)
Hali hiyo ilijitokeza wakati wajumbe waliokuwa wakipinga kufanyika kwa marekebisho hayo alipokuwa akiwaingilia na kuwakatisha na wakati mwingine kuwatuhumu kuwa ni waongo na wanazua kwamba, azimio hilo ni la kulazimisha ili wapige kura.
Alifanya hivyo wakati wajumbe watatu kwa nyakati...
10 years ago
Mwananchi21 Jan
Daftari la Wapiga kura: Chadema kuchukua maamuzi magumu
9 years ago
BBCSwahili25 Oct
Kura ya maamuzi kuhusu katiba yaandaliwa Congo
11 years ago
Habarileo09 Mar
Mambo magumu Bunge la Katiba
KURA ya siri au ya wazi ambayo jana ilikuwa ipatiwe ufumbuzi na kamati ya mashauriano, imeshindikana tena kwa kile kinachoelezwa kuwa wajumbe wa kamati hiyo kushindwa kuafikiana. Eneo lingine ambalo ni moto kwa Bunge Maalumu ni juu ya utaratibu wa Bunge hilo kufanya uamuzi ambao rasimu inaelekeza kuwa ili hoja au ibara ipite ni lazima iungwe mkono na wajumbe theluthi mbili kutoka Bara na theluthi mbili kutoka Visiwani.
11 years ago
Habarileo17 Feb
Maswali magumu Bunge la Katiba
WAKATI wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wakijikusanya mjini Dodoma leo, kuanza safari ya siku 70 mpaka 90 ya kuwapatia Watanzania Katiba mpya, wasomi zaidi ya 100 wanakutana Dar es Salaam, kujibu maswali magumu yanayotakiwa kupatiwa ufumbuzi wa mwisho na Bunge hilo.
10 years ago
Mwananchi21 Aug
Mambo manne magumu Bunge Maalumu la Katiba
10 years ago
Raia Mwema05 Aug
Watu wa ‘maamuzi’ magumu
MPAMBANO wa urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu utahusisha wagombea wawili ambao wana sifa mo
Ezekiel Kamwaga