Maswali magumu Bunge la Katiba
WAKATI wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wakijikusanya mjini Dodoma leo, kuanza safari ya siku 70 mpaka 90 ya kuwapatia Watanzania Katiba mpya, wasomi zaidi ya 100 wanakutana Dar es Salaam, kujibu maswali magumu yanayotakiwa kupatiwa ufumbuzi wa mwisho na Bunge hilo.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi21 May
DIRA: Bunge limejaa majibu mepesi kwa maswali magumu
11 years ago
Habarileo09 Mar
Mambo magumu Bunge la Katiba
KURA ya siri au ya wazi ambayo jana ilikuwa ipatiwe ufumbuzi na kamati ya mashauriano, imeshindikana tena kwa kile kinachoelezwa kuwa wajumbe wa kamati hiyo kushindwa kuafikiana. Eneo lingine ambalo ni moto kwa Bunge Maalumu ni juu ya utaratibu wa Bunge hilo kufanya uamuzi ambao rasimu inaelekeza kuwa ili hoja au ibara ipite ni lazima iungwe mkono na wajumbe theluthi mbili kutoka Bara na theluthi mbili kutoka Visiwani.
10 years ago
Mwananchi21 Aug
Mambo manne magumu Bunge Maalumu la Katiba
10 years ago
Vijimambo29 Sep
BUNGE MAALUM LA KATIBA:Maamuzi magumu leo
![](http://www.ippmedia.com/images/frontend/headline_bullet.jpg)
![](http://www.ippmedia.com/images/frontend/headline_bullet.jpg)
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Samuel-Sita-September29-2014.jpg)
Hatua ya upigaji kura itakayohitimishwa Alhamisi wiki hii na Ijumaa kutunga sheria ya kipindi cha mpito kabla ya katiba kuanza kutumika, inafikiwa baada ya Bunge hilo kutumia zaidi ya...
10 years ago
KwanzaJamii29 Sep
MAAMUZI MAGUMU BUNGE LA KATIBA, KURA KUPIGWA HADI ALHAMISI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ETTd9*7yfBBPhLs6ekkX9H47WSt3XAM2PxH5bQRVtfQklCVOJFohvpAp7m3ebZtsiPPsmLhVoFPywIh4lvTae5fvNFxqTRZc/kuambian.jpg)
KUAMBIANA AZIKWA NA MASWALI MAGUMU 5
11 years ago
Tanzania Daima24 May
Maswali magumu kashfa ya Escrow
WAKATI kashfa ya ufisadi wa dola za Marekani milioni 122 (sawa na sh bilioni 200) katika akaunti ya Baraza la Usuluhishi la Migogoro ya Kibiashara (Escrow) ya Benki Kuu ya...
10 years ago
Mtanzania11 Jun
Maswali magumu sakata la Messi, Simba
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), tayari limemaliza mgogoro wa mkataba uliokuwa ukimhusisha winga, Ramadhan Singano ‘Messi’ na uongozi wa klabu yake ya Simba.
Messi alikuwa akidai mkataba wake umechezewa na Simba kwani awali ulitakiwa kumalizika Julai mwaka huu, lakini uliopo kwa uongozi hivi sasa unaonyesha unamalizika Julai mwakani.
Hivyo katika kikao walichokiandaa TFF juzi kuzikutanisha pande hizo mbili, umetoka uamuzi wa kufuta mikataba yote na sasa...
10 years ago
Raia Mwema25 Jun
Tuwaulize wawania urais maswali magumu
NIANZE makala hii kwa kuomba radhi kutokana na kushindwa kuwaletea makala katika toleo lililopita
Evarist Chahali