Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maswali magumu sakata la Messi, Simba

messi1NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), tayari limemaliza mgogoro wa mkataba uliokuwa ukimhusisha winga, Ramadhan Singano ‘Messi’ na uongozi wa klabu yake ya Simba.
Messi alikuwa akidai mkataba wake umechezewa na Simba kwani awali ulitakiwa kumalizika Julai mwaka huu, lakini uliopo kwa uongozi hivi sasa unaonyesha unamalizika Julai mwakani.
Hivyo katika kikao walichokiandaa TFF juzi kuzikutanisha pande hizo mbili, umetoka uamuzi wa kufuta mikataba yote na sasa...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Maswali magumu Bunge la Katiba

WAKATI wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wakijikusanya mjini Dodoma leo, kuanza safari ya siku 70 mpaka 90 ya kuwapatia Watanzania Katiba mpya, wasomi zaidi ya 100 wanakutana Dar es Salaam, kujibu maswali magumu yanayotakiwa kupatiwa ufumbuzi wa mwisho na Bunge hilo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Maswali magumu kashfa ya Escrow

WAKATI kashfa ya ufisadi wa dola za Marekani milioni 122 (sawa na sh bilioni 200) katika akaunti ya Baraza la Usuluhishi la Migogoro ya Kibiashara (Escrow)  ya Benki Kuu ya...

 

11 years ago

GPL

KUAMBIANA AZIKWA NA MASWALI MAGUMU 5

Stori: Waandishi Wetu
ADAM Philip Kuambiana amezikwa jana kwenye Makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam huku akiacha maswali magumu matano kuhusu maisha, mazingira na hatimaye kifo chake, Risasi Mchanganyiko linakupa moja kwa moja. Mwili wa marehemu Kuambiana ukiwasili kaburini tayari kwa shughuli za kuusitiri. Marehemu Kuambiana alifariki dunia Jumamosi iliyopita asubuhi akikimbizwa kwenye Hospitali ya Mama Ngoma,...

 

10 years ago

Raia Mwema

Tuwaulize wawania urais maswali magumu

NIANZE makala hii kwa kuomba radhi kutokana na kushindwa kuwaletea makala katika toleo lililopita

Evarist Chahali

 

11 years ago

Mwananchi

Membe: Tulikaangwa, tuliulizwa maswali magumu urais 2015

>Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Benard Membe amesema aliulizwa maswali mazito na Kamati Ndogo ya Maadili ya CCM inayoongozwa na Makamu Mwenyekiti wa chama hicho Bara, Phillip Mangula kuhusu mbio za urais 2015.

 

10 years ago

Mwananchi

CWT isitoe majibu mepesi kwa maswali magumu

Chama cha Walimu Tanzania (CWT) ni chama kilicho mstari wa mbele kuhakikisha walimu nchini wanapata stahili zao kwa wakati.

 

10 years ago

Michuzi

11 years ago

Mwananchi

DIRA: Bunge limejaa majibu mepesi kwa maswali magumu

>Nimefuatilia mjadala wa bajeti ya Wizara ya Katiba na Sheria katika mkutano wa Bunge unaoendelea mjini Dodoma.

 

10 years ago

Mtanzania

Sakata la Messi latinga TFF

MESSI GOALABDUCADO EMMANUEL NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
SAKATA la winga wa timu ya Simba, Ramadhan Singano ‘Messi’, akidai mkataba wake umechezewa na klabu yake hiyo sasa limefika rasmi kwenye Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) ili utata wake kumalizwa.
Messi amekuwa na mvutano mkubwa na klabu yake akidai mkataba wake wa miaka miwili umechezewa kwa kuongezewa mwaka mmoja zaidi unaoisha Julai mwakani, tofauti na ule alionao yeye unaomalizika mwezi ujao.
Katibu Msaidizi wa Chama cha Wanasoka Tanzania...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani