Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mambo magumu bajeti Maliasili

Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu.WIZARA ya Maliasili na Utalii imeomba kuongezewa muda wa kufanyia marekebisho maagizo ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maliasili na Utalii iliyotaka wizara hiyo kutekeleza maagizo, ikiwemo utekelezaji wa tozo mpya za viingilio kwenye hifadhi ya Taifa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Kamati ya Bunge yaikataa bajeti Maliasili na Utalii

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Kudumu, ya Maliasili na Utalii, James Lembeli KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Maliasili na Utalii jana ilikataa kujadili bajeti ya Wizara ya Maliasili na Utalii huku ikiwataka Waziri na watendaji wake kuondoka ukumbi wa mikutano wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Dar es Salaam ambako walikuwa wakutane kwa majadiliano.

 

11 years ago

Habarileo

Mambo magumu Bunge la Katiba

KURA ya siri au ya wazi ambayo jana ilikuwa ipatiwe ufumbuzi na kamati ya mashauriano, imeshindikana tena kwa kile kinachoelezwa kuwa wajumbe wa kamati hiyo kushindwa kuafikiana. Eneo lingine ambalo ni moto kwa Bunge Maalumu ni juu ya utaratibu wa Bunge hilo kufanya uamuzi ambao rasimu inaelekeza kuwa ili hoja au ibara ipite ni lazima iungwe mkono na wajumbe theluthi mbili kutoka Bara na theluthi mbili kutoka Visiwani.

 

10 years ago

Raia Tanzania

Mkude: Bondeni mambo magumu

KIUNGO mkabaji wa Simba Jonas Mkude, aliyekuwa majaribio ya wiki mbili Afrika Kusini, kwenye klabu ya Bidvest Witts, amesema mazoezi ya timu hiyo ni magumu, toafuti na alivyozoea akiwa na klabu yake.

 Mkude, aliyerejea nchini na kujiunga na klabu yake ya Simba alisema, kwa siku walikuwa wakifanya mazoezi ya saa nne bila kupumzika.

Akizungumza na Raia Tanzania, kiungo huyo alisema mazoezi ya nchini humo yanahitaji mchezaji ajiandae kwa vitu vingi ikiwemo hali ya hewa kwa mchezaji...

 

9 years ago

Mtanzania

Mambo magumu Ligi Kuu Bara

NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM

MAMBO magumu! Hiyo ndiyo hali halisi katika Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) msimu huu, baada ya kutokea mchuano mkali miongoni mwa timu shiriki.

Mchuano huo mpaka sasa umeonekana kuzihusu zaidi timu zinazoshika nafasi ya kwanza hadi ya 10 kwenye msimamo wa ligi, huku timu za Simba, Yanga na Azam zikipewa nafasi kubwa ya kutwaa ubingwa.

Ligi imefikia raundi ya saba huku baadhi ya timu zikicheza mechi sita lakini pia tofauti ya pointi katika msimamo...

 

11 years ago

Habarileo

Wanaojipitisha urais mambo sasa magumu

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa, Itikadi na Uenezi, Nape NnauyeMAKADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliopewa adhabu kutokana na kuanza harakati za kuomba ridhaa kugombea urais, baadhi yao wako katika hatihati ya ama kuongezewa adhabu au kuenguliwa kwenye kinyang’anyiro hicho.

 

11 years ago

Mwananchi

Tido Mhando:Mambo magumu zaidi

Tido Mhando kwenye simulizi zake hizi za kila wiki kwenye gazeti hili la Mwananchi Jumapili, anaelezea kwa muhtasari baadhi ya mambo kati ya mengi aliyokabiliana nayo kipindi kirefu alichofanya kazi ya utangazaji wa redio.

 

10 years ago

Mwananchi

Mambo manne magumu Bunge Maalumu la Katiba

Bunge Maalumu la Katiba limebaini mambo manne magumu ambayo yameonekana kuzua mivutano isiyo na mwafaka katika vikao vya kamati zake.

 

11 years ago

GPL

Brazil mambo magumu, Algeria yala kipondo

Neymar akiruka juu kupiga mpira kichwa. Sao Paolo, Brazil
BRAZIL wakiwa mbele ya mashabiki wao, jana walishindwa kuibuka na ushindi baada ya kulazimishwa suluhu na Mexico huku Algeria wakiendeleza machungu kwa Waafrika kwa kuchapwa mabao 2-1 na Ubelgiji.…

 

5 years ago

Michuzi

KAMATI YA BUNGE YA MAMBO YA NJE, ULINZI NA USALAMA YAPITIA MAPENDEKEZO YA BAJETI YA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI KWA MWAKA WA FEDHA 2020/21 KILICHOFANYIKA JIJINI DODOMA LEO


Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (Katikati), Katibu Mkuu, Christopher Kadio (Kulia) na Naibu klatibu Mkuu, Ramadhani Kailima (Kushoto) wakizungumza kabla ya kuanza Kikao Cha Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama. Wizara hii imewasilisha Taarifa ya Utekelezaji wa Bajeti ya Mwaka wa Fedha  2020/21 katika Kikao kilichofanyika Jijini Dodoma leo.

Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (Kushoto), Katibu Mkuu, Christopher Kadio...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani