Tido Mhando:Mambo magumu zaidi
Tido Mhando kwenye simulizi zake hizi za kila wiki kwenye gazeti hili la Mwananchi Jumapili, anaelezea kwa muhtasari baadhi ya mambo kati ya mengi aliyokabiliana nayo kipindi kirefu alichofanya kazi ya utangazaji wa redio.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi18 Aug
Tido Mhando:Mambo ya wakubwa
Kwenye simulizi zake za kila Jumapili, Mwanahabari wa siku nyingi, hasa kwenye fani ya utangazaji, Tido Mhando anasimulia kwa ufupi mengi aliyokutana nayo kwenye kipindi chake cha miaka 45 kazini.
11 years ago
Mwananchi02 Feb
Tido Mhando:Uhasama zaidi
Kama kulikuwa na mwaka ambao labda ungeelezewa kuwa ndiyo kilele cha uhasama uliokuwepo baina ya Tanzania na Kenya, basi ulikuwa ni mwaka huo wa 1982.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-AFie06AUli0/XvNAmIL-BeI/AAAAAAALvPs/cVXuCyZESEAfTCtCmRn-PUsPiUmSl9r6wCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-24%2Bat%2B2.34.50%2BPM.jpeg)
SASA NI WAKATI KUWAPA BURUDANI ZA KINYUMBANI ZAIDI WATAZAMAJI WETU-TIDO MHANDO
Na.Khadija seif, Michuzi tv
- Rich rich aona Raha ya kuwepo Azam tv, tamthilia 4 madebe na shilingi yake.
KAMPUNI ya Azam media imezindua filamu nne kwa mpigo jijini leo jijini Dar es salaam.
Akizungumza na Michuzi tv Mtendaji mkuu wa kampuni ya Azam Media, Tido Mhando amesema Sasa ni wakati wa kuwapa burudani za kinyumbani zaidi watazamaji wao.
"Tumekuwa tukipokea malalamiko,maoni na ujumbe kutoka kwa watazamaji wet,u kupitia mitandaoni kuhusu juu ya kutaka kuona tamthilia za...
- Rich rich aona Raha ya kuwepo Azam tv, tamthilia 4 madebe na shilingi yake.
KAMPUNI ya Azam media imezindua filamu nne kwa mpigo jijini leo jijini Dar es salaam.
Akizungumza na Michuzi tv Mtendaji mkuu wa kampuni ya Azam Media, Tido Mhando amesema Sasa ni wakati wa kuwapa burudani za kinyumbani zaidi watazamaji wao.
"Tumekuwa tukipokea malalamiko,maoni na ujumbe kutoka kwa watazamaji wet,u kupitia mitandaoni kuhusu juu ya kutaka kuona tamthilia za...
10 years ago
Mwananchi16 Nov
Tido Mhando:Ziara ya Kinshasa
Kwa muda wa karibu miaka miwili sasa, mwandishi wa habari wa muda mrefu, Tido Mhando, amekuwa akiandika simulizi zake hizi kutokana na mengi aliyokutana nayo katika kipindi kirefu cha kufanya kazi hii, hasa kama mtangazaji wa redio.
11 years ago
Mwananchi04 May
Tido Mhando:Msiba mzito
Katika simulizi zake hizi za kila Jumapili, Tido Mhando anadokeza baadhi ya matukio ya kusisimua aliyokabiliana nayo kwenye kipindi cha zaidi ya miaka 40 ya utangazaji wa redio.
11 years ago
Mwananchi19 Jan
Tido Mhando:Awamu ya pili
Kwenye makala zake hizi za kila wiki, Tido Mhando ambaye amefanya kazi ya utangazaji wa redio kwa muda mrefu sana anahadithia baadhi tu ya mambo aliyokabiliana nayo kwenye kipindi chote hicho cha zaidi ya miaka 45 sasa.
11 years ago
Mwananchi09 Feb
Tido Mhando:Mkutano wa dharura
Mwanzoni mwa mwaka huu, Tido Mhando alitimiza miaka 45 katika tasnia ya habari, ambapo ndani ya muda huo, kwa kipindi kirefu alikuwa zaidi kwenye fani ya utangazaji wa redio.
11 years ago
Mwananchi16 Jul
Tido Mhando aaga Mwananchi
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), Tido Mhando amewaaga wafanyakazi wa kampuni hiyo baada ya kumaliza mkataba wake wa miaka miwili na nusu.
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/7aEGLxsObD8/default.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania