Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tido Mhando:Awamu ya pili

Kwenye makala zake hizi za kila wiki, Tido Mhando ambaye amefanya kazi ya utangazaji wa redio kwa muda mrefu sana anahadithia baadhi tu ya mambo aliyokabiliana nayo kwenye kipindi chote hicho cha zaidi ya miaka 45 sasa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Tido Mhando:Mazungumzo ya wasiwasi

Niliingia kwenye mgahawa huo kwa tahadhari kubwa sana nikimfuata nyuma aliyekuwa mwenyeji wangu pale, Hatty MacGhee, ambaye ndiye aliyenipigia kelele za kuniita wakati nikipita nje ya mgahawa huu uliopo eneo la maduka mengi yanayomilikiwa na wafanyabiashara wa Kihindi.

 

11 years ago

Mwananchi

Tido Mhando:Mbio za sakafuni

Kwenye hii safu yake ya kila Jumapili, Tido Mhando anasimulia kwa muhtasari tu, mengi aliyokutana nayo kwenye kazi ya utangazaji wa redio aliyoifanya kwa zaidi ya miaka 40.

 

11 years ago

Mwananchi

Tido Mhando aaga Mwananchi

Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), Tido Mhando amewaaga wafanyakazi wa kampuni hiyo baada ya kumaliza mkataba wake wa miaka miwili na nusu.

 

10 years ago

Mwananchi

Tido Mhando:Ziara ya Kinshasa

Kwa muda wa karibu miaka miwili sasa, mwandishi wa habari wa muda mrefu, Tido Mhando, amekuwa akiandika simulizi zake hizi kutokana na mengi aliyokutana nayo katika kipindi kirefu cha kufanya kazi hii, hasa kama mtangazaji wa redio.

 

11 years ago

Mwananchi

Tido Mhando:Mkutano wa dharura

Mwanzoni mwa mwaka huu, Tido Mhando alitimiza miaka 45 katika tasnia ya habari, ambapo ndani ya muda huo, kwa kipindi kirefu alikuwa zaidi kwenye fani ya utangazaji wa redio.

 

11 years ago

Mwananchi

Tido Mhando:Msiba mzito

Katika simulizi zake hizi za kila Jumapili, Tido Mhando anadokeza baadhi ya matukio ya kusisimua aliyokabiliana nayo kwenye kipindi cha zaidi ya miaka 40 ya utangazaji wa redio.

 

10 years ago

Mwananchi

Tido Mhando:Mambo ya wakubwa

Kwenye simulizi zake za kila Jumapili, Mwanahabari wa siku nyingi, hasa kwenye fani ya utangazaji, Tido Mhando anasimulia kwa ufupi mengi aliyokutana nayo kwenye kipindi chake cha miaka 45 kazini.

 

11 years ago

Mwananchi

Tido Mhando:Uhasama zaidi

Kama kulikuwa na mwaka ambao labda ungeelezewa kuwa ndiyo kilele cha uhasama uliokuwepo baina ya Tanzania na Kenya, basi ulikuwa ni mwaka huo wa 1982.

 

10 years ago

Vijimambo

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani