Tido Mhando:Mbio za sakafuni
Kwenye hii safu yake ya kila Jumapili, Tido Mhando anasimulia kwa muhtasari tu, mengi aliyokutana nayo kwenye kazi ya utangazaji wa redio aliyoifanya kwa zaidi ya miaka 40.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi17 Dec
Mbio za sakafuni 2
lilah Maurice Shikonyi ni mwanadada mrembo akiwa anaendesha gari lake saa za jioni alimgonga kijana mmoja mtembea kwa miguu aliyevuka barabara kizembe.Akiwa katika harakati za kumpa msaada , kundi la wananchi wenye hasira kali lilitokea na kutaka kumwadhibu. Ghafla akatokea kijana mmoja mwenye misuli kwa jina la Ben Kanyau alitokea na kuondoka naye kutoka katika eneo hilo ili kuepukana na zahama zile.
9 years ago
Mwananchi03 Dec
Mbio za Sakafuni -3
“Unataka kinywaji gani?†Delilah alimuuliza Ben.
“Hata bia moja mbili tatu hivi…â€
“Unasema biaâ€
“Ndio manake…au unasemaje mwenzangu au wewe hutumii?â€
“Mimi natumia…â€
“Bali?â€
“Hata mimi nakunywa, unadhani ni wapi panafaa kupata kinywaji?â€
“Ziko sehemu nyingi tu, hata hapa Magomeni kuna grosari nyingi kila ko
9 years ago
Mwananchi03 Dec
Mbio za sakafuni
Delilah Maurice Shikonyi, mwanadada mrembo akiwa anaendesha gari lake jioni moja alimgonga kwa bahati mbaya mtembea kwa miguu aliyevuka kizembe. Hata hivyo, wakati akiwa katika harakati za kumpa msaada, kundi la wananchi wenye hasira kali lilitokea na kutaka kumwadhibu. Kwa Bahati nzuri akatokea kijana mmoja mwenye misuli, Ben Kanyau ambaye alimwokoa na kuondoka naye.
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/7aEGLxsObD8/default.jpg)
11 years ago
Mwananchi16 Jul
Tido Mhando aaga Mwananchi
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), Tido Mhando amewaaga wafanyakazi wa kampuni hiyo baada ya kumaliza mkataba wake wa miaka miwili na nusu.
10 years ago
Mwananchi16 Nov
Tido Mhando:Ziara ya Kinshasa
Kwa muda wa karibu miaka miwili sasa, mwandishi wa habari wa muda mrefu, Tido Mhando, amekuwa akiandika simulizi zake hizi kutokana na mengi aliyokutana nayo katika kipindi kirefu cha kufanya kazi hii, hasa kama mtangazaji wa redio.
11 years ago
Mwananchi09 Feb
Tido Mhando:Mkutano wa dharura
Mwanzoni mwa mwaka huu, Tido Mhando alitimiza miaka 45 katika tasnia ya habari, ambapo ndani ya muda huo, kwa kipindi kirefu alikuwa zaidi kwenye fani ya utangazaji wa redio.
11 years ago
Mwananchi04 May
Tido Mhando:Msiba mzito
Katika simulizi zake hizi za kila Jumapili, Tido Mhando anadokeza baadhi ya matukio ya kusisimua aliyokabiliana nayo kwenye kipindi cha zaidi ya miaka 40 ya utangazaji wa redio.
10 years ago
Mwananchi18 Aug
Tido Mhando:Mambo ya wakubwa
Kwenye simulizi zake za kila Jumapili, Mwanahabari wa siku nyingi, hasa kwenye fani ya utangazaji, Tido Mhando anasimulia kwa ufupi mengi aliyokutana nayo kwenye kipindi chake cha miaka 45 kazini.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania