Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tido Mhando:Mbio za sakafuni

Kwenye hii safu yake ya kila Jumapili, Tido Mhando anasimulia kwa muhtasari tu, mengi aliyokutana nayo kwenye kazi ya utangazaji wa redio aliyoifanya kwa zaidi ya miaka 40.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Mbio za sakafuni 2

lilah Maurice Shikonyi ni mwanadada mrembo akiwa anaendesha gari lake saa za jioni alimgonga kijana mmoja mtembea kwa miguu aliyevuka barabara kizembe.Akiwa katika harakati za kumpa  msaada , kundi la wananchi  wenye hasira kali lilitokea na kutaka kumwadhibu. Ghafla akatokea kijana mmoja mwenye misuli kwa jina la Ben Kanyau alitokea na kuondoka naye kutoka katika eneo hilo ili kuepukana na zahama zile.

 

9 years ago

Mwananchi

Mbio za Sakafuni -3

“Unataka kinywaji gani?” Delilah alimuuliza Ben. “Hata bia moja mbili tatu hivi…” “Unasema bia” “Ndio manake…au unasemaje mwenzangu au wewe hutumii?” “Mimi natumia…” “Bali?” “Hata mimi nakunywa, unadhani ni wapi panafaa kupata kinywaji?” “Ziko sehemu nyingi tu, hata hapa Magomeni kuna grosari nyingi kila ko

 

9 years ago

Mwananchi

Mbio za sakafuni

Delilah Maurice Shikonyi, mwanadada mrembo akiwa anaendesha gari lake jioni moja alimgonga kwa bahati mbaya mtembea kwa miguu aliyevuka kizembe. Hata hivyo, wakati akiwa katika harakati za kumpa msaada, kundi la wananchi wenye hasira kali lilitokea na kutaka kumwadhibu. Kwa Bahati nzuri akatokea kijana mmoja mwenye misuli, Ben Kanyau  ambaye alimwokoa  na kuondoka naye.

 

10 years ago

Vijimambo

11 years ago

Mwananchi

Tido Mhando aaga Mwananchi

Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), Tido Mhando amewaaga wafanyakazi wa kampuni hiyo baada ya kumaliza mkataba wake wa miaka miwili na nusu.

 

10 years ago

Mwananchi

Tido Mhando:Ziara ya Kinshasa

Kwa muda wa karibu miaka miwili sasa, mwandishi wa habari wa muda mrefu, Tido Mhando, amekuwa akiandika simulizi zake hizi kutokana na mengi aliyokutana nayo katika kipindi kirefu cha kufanya kazi hii, hasa kama mtangazaji wa redio.

 

11 years ago

Mwananchi

Tido Mhando:Mkutano wa dharura

Mwanzoni mwa mwaka huu, Tido Mhando alitimiza miaka 45 katika tasnia ya habari, ambapo ndani ya muda huo, kwa kipindi kirefu alikuwa zaidi kwenye fani ya utangazaji wa redio.

 

11 years ago

Mwananchi

Tido Mhando:Msiba mzito

Katika simulizi zake hizi za kila Jumapili, Tido Mhando anadokeza baadhi ya matukio ya kusisimua aliyokabiliana nayo kwenye kipindi cha zaidi ya miaka 40 ya utangazaji wa redio.

 

10 years ago

Mwananchi

Tido Mhando:Mambo ya wakubwa

Kwenye simulizi zake za kila Jumapili, Mwanahabari wa siku nyingi, hasa kwenye fani ya utangazaji, Tido Mhando anasimulia kwa ufupi mengi aliyokutana nayo kwenye kipindi chake cha miaka 45 kazini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani