Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkude: Bondeni mambo magumu

KIUNGO mkabaji wa Simba Jonas Mkude, aliyekuwa majaribio ya wiki mbili Afrika Kusini, kwenye klabu ya Bidvest Witts, amesema mazoezi ya timu hiyo ni magumu, toafuti na alivyozoea akiwa na klabu yake.

 Mkude, aliyerejea nchini na kujiunga na klabu yake ya Simba alisema, kwa siku walikuwa wakifanya mazoezi ya saa nne bila kupumzika.

Akizungumza na Raia Tanzania, kiungo huyo alisema mazoezi ya nchini humo yanahitaji mchezaji ajiandae kwa vitu vingi ikiwemo hali ya hewa kwa mchezaji...

Raia Tanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

mambo ya e-fm 93.7 na mkude simba

Hapana shaka umeshamsikia Mkude Simba kwenye mitandao, hasa Whatsapp, akichana watu mbavu kwa lafudhi yake ya Kiluguru na vituko kibao. Kama hujamsikia basi Mkude Simba ndio gumzo la mujini hivi sasa. Naye anapatikana katika kituo kipya cha redio inayokuja juu kwa kasi nchini E-FM 93.7 ambapo usiku ni ngoma ya mchiriku kwa kwenda mbele....Hehehheee Pia kituo hicho cha vijana kinarusha vituzzzz live BOFYA HAPA ama hapo juu katika Globu ya Jamii.

 

11 years ago

Habarileo

Mambo magumu Bunge la Katiba

KURA ya siri au ya wazi ambayo jana ilikuwa ipatiwe ufumbuzi na kamati ya mashauriano, imeshindikana tena kwa kile kinachoelezwa kuwa wajumbe wa kamati hiyo kushindwa kuafikiana. Eneo lingine ambalo ni moto kwa Bunge Maalumu ni juu ya utaratibu wa Bunge hilo kufanya uamuzi ambao rasimu inaelekeza kuwa ili hoja au ibara ipite ni lazima iungwe mkono na wajumbe theluthi mbili kutoka Bara na theluthi mbili kutoka Visiwani.

 

10 years ago

Habarileo

Mambo magumu bajeti Maliasili

Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu.WIZARA ya Maliasili na Utalii imeomba kuongezewa muda wa kufanyia marekebisho maagizo ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maliasili na Utalii iliyotaka wizara hiyo kutekeleza maagizo, ikiwemo utekelezaji wa tozo mpya za viingilio kwenye hifadhi ya Taifa.

 

11 years ago

Mwananchi

Tido Mhando:Mambo magumu zaidi

Tido Mhando kwenye simulizi zake hizi za kila wiki kwenye gazeti hili la Mwananchi Jumapili, anaelezea kwa muhtasari baadhi ya mambo kati ya mengi aliyokabiliana nayo kipindi kirefu alichofanya kazi ya utangazaji wa redio.

 

9 years ago

Mtanzania

Mambo magumu Ligi Kuu Bara

NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM

MAMBO magumu! Hiyo ndiyo hali halisi katika Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) msimu huu, baada ya kutokea mchuano mkali miongoni mwa timu shiriki.

Mchuano huo mpaka sasa umeonekana kuzihusu zaidi timu zinazoshika nafasi ya kwanza hadi ya 10 kwenye msimamo wa ligi, huku timu za Simba, Yanga na Azam zikipewa nafasi kubwa ya kutwaa ubingwa.

Ligi imefikia raundi ya saba huku baadhi ya timu zikicheza mechi sita lakini pia tofauti ya pointi katika msimamo...

 

11 years ago

Habarileo

Wanaojipitisha urais mambo sasa magumu

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa, Itikadi na Uenezi, Nape NnauyeMAKADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliopewa adhabu kutokana na kuanza harakati za kuomba ridhaa kugombea urais, baadhi yao wako katika hatihati ya ama kuongezewa adhabu au kuenguliwa kwenye kinyang’anyiro hicho.

 

10 years ago

Mwananchi

Mambo manne magumu Bunge Maalumu la Katiba

Bunge Maalumu la Katiba limebaini mambo manne magumu ambayo yameonekana kuzua mivutano isiyo na mwafaka katika vikao vya kamati zake.

 

11 years ago

GPL

Brazil mambo magumu, Algeria yala kipondo

Neymar akiruka juu kupiga mpira kichwa. Sao Paolo, Brazil
BRAZIL wakiwa mbele ya mashabiki wao, jana walishindwa kuibuka na ushindi baada ya kulazimishwa suluhu na Mexico huku Algeria wakiendeleza machungu kwa Waafrika kwa kuchapwa mabao 2-1 na Ubelgiji.…

 

9 years ago

Habarileo

Vijana watano wafuzu majaribio Bondeni

WACHEZAJI watano kutoka timu ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 15 wamefuzu majaribio ya kucheza soka katika klabu ya Orlando Pirates ya Afrika Kusini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani