Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vijana watano wafuzu majaribio Bondeni

WACHEZAJI watano kutoka timu ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 15 wamefuzu majaribio ya kucheza soka katika klabu ya Orlando Pirates ya Afrika Kusini.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

VIJANA WATANO U-15 WAELEKEA AFRIKA KUSINI

WACHEZAJI watano kutoka katika kikosi cha vijana wenye umri chini ya miaka 15 (U-15) wanaondoka leo jijini Dar es salaam kuelekea nchini Afrika Kusini katika klabu ya Orlando Pirates kwa ajili ya kufanya majaribio.Vijana hao wanakwenda katika klabu ya vijana ya Orlando Pirates kufanya majaribo ambapo makocha wa vijana wa klabu hiyo watapata nafasi ya kuwatazama katika mazoezi na michezo ya kirafiki.Nafasi hiyo imepatikana kufuatia mazungumzo ya Rais wa TFF, Jamal Malinzi na Rais wa klabu...

 

10 years ago

Mwananchi

NYANZA: Mtoto wa miaka 14 abakwa na vijana watano kwa zamu

>Vijana watano wanadaiwa kumbaka mtoto mwenye umri wa miaka 14 kwa zamu hadi kuzirai. Mtoto huyo alikuwa akitokea Kata ya Nyamatere kusherehekea matokeo ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika Manispaa ya Musoma.

 

10 years ago

Dewji Blog

Vijana watano wapata fursa ‘Coke Studio Afrika’ Kenya

Ben Pol kutoka Tanzania (wa pili kushoto), Wangechi kutoka Kenya (wa tano kushoto) na Silva Stone kutoka Ghana (wa pili kulia) wakiwa pamoja na vijana kutoka Tanzania waliokwenda kushuhudia tamasha la Coke Studio Afrika nchini Kenya baada ya kushinda kupitia shindano lililoendeshwa kupitia akaunti ya instagramu ya Millard Ayo.

Coke studio Afrika ni moja ya matamasha makubwa ambayo huandaliwa na kampuni ya Coca-Cola ambayo hufanyika  kila mwaka katika mataifa tofauti tofauti ya Afrika....

 

10 years ago

Vijimambo

Vijana watano kutoka Tanzania watumbuiza na Ben Pol jukwaa la 'Coke Studio Afrika' Kenya

Ben Pol kutoka Tanzania (wa pili kushoto), Wangechi kutoka Kenya (wa tano kushoto) na Silva Stone kutoka Ghana (wa pili kulia) wakiwa pamoja na vijana kutoka Tanzania waliokwenda kushuhudia tamasha la Coke Studio Afrika nchini Kenya baada ya kushinda kupitia shindano lililoedeshwa kupitia akaunti ya instagramu ya Millard Ayo.
Vijana watano wapata fursa ‘Coke Studio Afrika’ Kenya.Coke studio Afrika ni moja ya matamasha makubwa ambayo huandaliwa na kampuni ya Coca-Cola ambayo hufanyika  kila...

 

11 years ago

Mwananchi

58 wafuzu mafunzo ya ukocha

Waamuzi 58 wametunikiwa vyeti vya ukocha na uamuzi Daraja C baada ya kuhitimu mafunzo ya ukocha na uamuzi wa netiboli mwishoni mwa wiki iliyopita.

 

11 years ago

Mwananchi

Sembu, Msenduki wafuzu madola

>Wanariadha Andrew Sembu na Mohamed Msenduki  wamefikia viwango vya kushiriki michezo ya Jumuiya ya  Madola vilivyowekwa na Shirikisho la riadha Tanzania  (AT).

 

9 years ago

BBCSwahili

Arsenal wafuzu hatua ya muondoano Ulaya

Olivier Giroud alifungia Arsenal mabao matatu kwa mara yake ya kwanza na kuhakikisha Gunners wanaendeleza rekodi yao nzuri Ulaya kufika hatua ya 16 bora kwa kulaza Olympiakos.

 

9 years ago

BBCSwahili

Waethiopia na Wakenya wafuzu mita 5,000

Wanariadha 3 wa Ethiopia pamoja na wengine 3 wa Kenya wamefuzu katika fainali ya mbio za mita 5000 siku ya jumamosi mjini Beijing.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani