VIJANA WATANO U-15 WAELEKEA AFRIKA KUSINI
WACHEZAJI watano kutoka katika kikosi cha vijana wenye umri chini ya miaka 15 (U-15) wanaondoka leo jijini Dar es salaam kuelekea nchini Afrika Kusini katika klabu ya Orlando Pirates kwa ajili ya kufanya majaribio.Vijana hao wanakwenda katika klabu ya vijana ya Orlando Pirates kufanya majaribo ambapo makocha wa vijana wa klabu hiyo watapata nafasi ya kuwatazama katika mazoezi na michezo ya kirafiki.Nafasi hiyo imepatikana kufuatia mazungumzo ya Rais wa TFF, Jamal Malinzi na Rais wa klabu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog07 Aug
Vijana watano wapata fursa ‘Coke Studio Afrika’ Kenya
Ben Pol kutoka Tanzania (wa pili kushoto), Wangechi kutoka Kenya (wa tano kushoto) na Silva Stone kutoka Ghana (wa pili kulia) wakiwa pamoja na vijana kutoka Tanzania waliokwenda kushuhudia tamasha la Coke Studio Afrika nchini Kenya baada ya kushinda kupitia shindano lililoendeshwa kupitia akaunti ya instagramu ya Millard Ayo.
Coke studio Afrika ni moja ya matamasha makubwa ambayo huandaliwa na kampuni ya Coca-Cola ambayo hufanyika kila mwaka katika mataifa tofauti tofauti ya Afrika....
10 years ago
VijimamboVijana watano kutoka Tanzania watumbuiza na Ben Pol jukwaa la 'Coke Studio Afrika' Kenya
Vijana watano wapata fursa ‘Coke Studio Afrika’ Kenya.Coke studio Afrika ni moja ya matamasha makubwa ambayo huandaliwa na kampuni ya Coca-Cola ambayo hufanyika kila...
10 years ago
BBCSwahili20 Mar
Madhara ya Nyaope kwa vijana Afrika Kusini
9 years ago
StarTV10 Nov
Vijana wanaoshiri kwenye fainali Afrika Kusini waagwa.
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda amewakabidhi bendera ya Tanzania vijana wanaokwenda kushiriki katika fainali ya kumpata mshindi wa Tuzo ya wajasiriamali vijana wa Afrika ANZISHA itakayofanyika nchini Afrika Kusini Akikabidhi bendera hiyo jijini Dar es salaam Makonda amesema, Serikali imekuwa ikiweka juhudi kuwaunga mkono vijana wajasiriamali kwakuwa nchi ya viwanda haipatikani nje ya ujasiriamali. Akizungumza Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda amesema vijana wengi wa...
10 years ago
BBCSwahili14 Aug
Msafara wa Urusi waelekea Kusini Ukraine
11 years ago
BBCSwahili28 Dec
Vijana wa Machar waelekea Bor
10 years ago
Mwananchi21 Jan
Marais watano kushuhudia amani Sudan Kusini
9 years ago
Habarileo13 Sep
Vijana watano wafuzu majaribio Bondeni
WACHEZAJI watano kutoka timu ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 15 wamefuzu majaribio ya kucheza soka katika klabu ya Orlando Pirates ya Afrika Kusini.
10 years ago
MichuziVijana wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wakutana Arusha kujadili Sera ya Vijana wa EAC