Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Madhara ya Nyaope kwa vijana Afrika Kusini

Dawa za kulevya zenye uraibu mkubwa zinaendelea kuikumba AfriKa Kusini hasa kwenye mitaa inayokaliwa na watu maskini.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

VIJANA WATANO U-15 WAELEKEA AFRIKA KUSINI

WACHEZAJI watano kutoka katika kikosi cha vijana wenye umri chini ya miaka 15 (U-15) wanaondoka leo jijini Dar es salaam kuelekea nchini Afrika Kusini katika klabu ya Orlando Pirates kwa ajili ya kufanya majaribio.Vijana hao wanakwenda katika klabu ya vijana ya Orlando Pirates kufanya majaribo ambapo makocha wa vijana wa klabu hiyo watapata nafasi ya kuwatazama katika mazoezi na michezo ya kirafiki.Nafasi hiyo imepatikana kufuatia mazungumzo ya Rais wa TFF, Jamal Malinzi na Rais wa klabu...

 

9 years ago

StarTV

Vijana wanaoshiri kwenye fainali Afrika Kusini waagwa.

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda amewakabidhi bendera ya Tanzania vijana wanaokwenda kushiriki katika fainali ya kumpata mshindi wa Tuzo ya wajasiriamali vijana wa Afrika ANZISHA itakayofanyika nchini Afrika Kusini Akikabidhi bendera hiyo jijini Dar es salaam Makonda amesema, Serikali imekuwa ikiweka juhudi kuwaunga mkono vijana wajasiriamali kwakuwa nchi ya viwanda haipatikani nje ya ujasiriamali. Akizungumza Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda amesema vijana wengi wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

NIMR Mwanza wafanya mkutano wa wadau kuhusiana na madhara ya Pombe kwa vijana

tafiti

 

Na Andrew Chale wa Modewji blog

Taasisi ya  Taifa ya Utafiti ya Magonjwa ya Binadamu (NIMR)  tawi la Mwanza mapema  Machi 25 mwaka huu imeendesha warsha ya wadau mbalimbali kuhusiana na Madhara ya Pombe kwa vijana kufuatia utafiti uliofanywa katika maeneo kadhaa ya Tanzania, ikiwemo Mkoa wa Kilimanjaro.

Warsha hiyo iliwakutanisha wadau mbalimbali wakiwemo Madaktari,  wakuu wa idara za Polisi barabarani, wakuu wa Taasisi za Afya na mashirika ya kupiga vita matumizi ya vileo na...

 

11 years ago

BBCSwahili

Condom zenye mvuto kwa vijana A. Kusini

Serikali ya A.Kusini imeanza mpango wa kuwapa vijana wa shule mipira ya Condom zenye rangi tofauti tofauti na ambazo zina harufu nzuri

 

11 years ago

Mwananchi

Tanzanite yatota kwa Afrika Kusini

Matumaini ya Tanzania kucheza Fainali za Kombe la Dunia kwa wasichana imeingia kiwingu baada ya jana Tanzanite kufungwa na Afrika Kusini

 

11 years ago

BBCSwahili

Afrika Kusini yadorora kwa Hesabu na Sayansi

Afrika kusini imeorodheswha kama taifa linalofanya vibaya zaidi katika masomo ya hisabati na sayansi katika elimu duniani

 

9 years ago

BBCSwahili

Uchina yaahidi $6.5bn kwa Afrika Kusini

Uchina na Afrika Kusini zimetia saini mikataba na mikopo ya thamani ya $6.5bn (£4.3bn), inayoangazia zaidi miundo mbinu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Amuua mkewe kwa gurunedi Afrika Kusini

Polisi nchini Afrika kusini wanamtafuta mwanamme mmoja ambaye analaumiwa kwa kumuua mkewe kwa akitumia gurunedi

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani