Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uchina yaahidi $6.5bn kwa Afrika Kusini

Uchina na Afrika Kusini zimetia saini mikataba na mikopo ya thamani ya $6.5bn (£4.3bn), inayoangazia zaidi miundo mbinu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Uchina kuahidi mabilioni zaidi kwa Afrika

Kongamano kuu kati ya nchi za Afrika na Uchina linafunguliwa leo mjini Johannesburg kukiwa na matarajio kwamba Uchina itaahidi usaidizi zaidi kwa bara Afrika.

 

9 years ago

BBCSwahili

Soko la hisa Uchina laathiri bara Afrika

Kuporomoka kwa soko la hisa nchini Uchina kunaendelea kuathiri sarafu na uchumi wa mataifa ya bara la Afrika.

 

11 years ago

Mwananchi

Tanzanite yatota kwa Afrika Kusini

Matumaini ya Tanzania kucheza Fainali za Kombe la Dunia kwa wasichana imeingia kiwingu baada ya jana Tanzanite kufungwa na Afrika Kusini

 

10 years ago

StarTV

Ujerumani yaahidi kushirikiana na nchi za Afrika.

Na Ramadhani Mvungi

Arusha.

Rais wa Ujerumani Joachim Gauck ameahidi taifa lake kuendelea kushirikiana na Nchi za kiafrika katika nyanja mbalimbali ikiwemo kusaidia kukuza mifumo ya uimarishaji wa haki za binadamu kwa kuijengea uwezo zaidi mahakama ya Afrika iliyopo Jijini Arusha.

 

Ametoa mwito pia kwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki kuendeleza utashi wa kukuza utengamano wenye maslahi kwa wananchi.

 

Katika ziara yake jijini Arusha Rais Joachim Gauck akiwa kwenye mahakama ya Afrika ya...

 

9 years ago

BBCSwahili

Amuua mkewe kwa gurunedi Afrika Kusini

Polisi nchini Afrika kusini wanamtafuta mwanamme mmoja ambaye analaumiwa kwa kumuua mkewe kwa akitumia gurunedi

 

10 years ago

BBCSwahili

Madhara ya Nyaope kwa vijana Afrika Kusini

Dawa za kulevya zenye uraibu mkubwa zinaendelea kuikumba AfriKa Kusini hasa kwenye mitaa inayokaliwa na watu maskini.

 

11 years ago

BBCSwahili

Afrika Kusini yadorora kwa Hesabu na Sayansi

Afrika kusini imeorodheswha kama taifa linalofanya vibaya zaidi katika masomo ya hisabati na sayansi katika elimu duniani

 

9 years ago

BBCSwahili

Obama atoa onyo kali kwa Afrika Kusini

Rais wa Marekani Barack Obama ameipa Afrika ya Kusini siku 60 kuondoa vikwazo katika bidhaa za kilimo kutoka Marekani la sivyo ataiondolea msamaha wa kodi wa bidhaa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani