Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzanite yatota kwa Afrika Kusini

Matumaini ya Tanzania kucheza Fainali za Kombe la Dunia kwa wasichana imeingia kiwingu baada ya jana Tanzanite kufungwa na Afrika Kusini

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Uchina yaahidi $6.5bn kwa Afrika Kusini

Uchina na Afrika Kusini zimetia saini mikataba na mikopo ya thamani ya $6.5bn (£4.3bn), inayoangazia zaidi miundo mbinu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Afrika Kusini yadorora kwa Hesabu na Sayansi

Afrika kusini imeorodheswha kama taifa linalofanya vibaya zaidi katika masomo ya hisabati na sayansi katika elimu duniani

 

9 years ago

BBCSwahili

Amuua mkewe kwa gurunedi Afrika Kusini

Polisi nchini Afrika kusini wanamtafuta mwanamme mmoja ambaye analaumiwa kwa kumuua mkewe kwa akitumia gurunedi

 

10 years ago

BBCSwahili

Madhara ya Nyaope kwa vijana Afrika Kusini

Dawa za kulevya zenye uraibu mkubwa zinaendelea kuikumba AfriKa Kusini hasa kwenye mitaa inayokaliwa na watu maskini.

 

11 years ago

Mwananchi

Mtanzania anayetesa Afrika Kusini kwa kuendesha baiskeli

Kati ya wanamichezo wa Tanzania waliofanikiwa kupitia michezo, hauwezi kuacha kumtaja mwendesha baiskeli, Richard Laizer anayeichezea timu ya Qhubeka Feeder ya nchini Afrika Kusini.

 

9 years ago

BBCSwahili

Obama atoa onyo kali kwa Afrika Kusini

Rais wa Marekani Barack Obama ameipa Afrika ya Kusini siku 60 kuondoa vikwazo katika bidhaa za kilimo kutoka Marekani la sivyo ataiondolea msamaha wa kodi wa bidhaa.

 

10 years ago

Michuzi

TFF YAIPONGEZA AFRIKA KUSINI KWA KUFUZU AFCON

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetoa pongezi kwa Chama cha Mpira wa Miguu Afrika Kusini (SAFA) kufuatia timu yake ya Taifa (Bafana Bafana) kufuzu kucheza fainali zijazo za AFCON nchini Equatorial Guinea.
Afrika Kusini iliifunga Sudan mabao 2-1, hivyo kufuzu kabla ya kukamilisha michezo yote. Bafana Bafana bado imebakiza mchezo mmoja katika hatua hiyo.
Wakati huo huo, TFF imeipeleka barua ya shukrani kwa Chama cha Mpira wa Miguu Afrika Kusini (SAFA) kwa kufanikisha kambi ya Taifa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Afrika Kusini yakana kutoa hongo kwa FIFA

Afrika kusini imekana kwa mara nyengine tena kwamba ilitoa hongo ili kupewa maandalizi ya kombe la dunia la mwaka 2010.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani