Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TFF YAIPONGEZA AFRIKA KUSINI KWA KUFUZU AFCON

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetoa pongezi kwa Chama cha Mpira wa Miguu Afrika Kusini (SAFA) kufuatia timu yake ya Taifa (Bafana Bafana) kufuzu kucheza fainali zijazo za AFCON nchini Equatorial Guinea.
Afrika Kusini iliifunga Sudan mabao 2-1, hivyo kufuzu kabla ya kukamilisha michezo yote. Bafana Bafana bado imebakiza mchezo mmoja katika hatua hiyo.
Wakati huo huo, TFF imeipeleka barua ya shukrani kwa Chama cha Mpira wa Miguu Afrika Kusini (SAFA) kwa kufanikisha kambi ya Taifa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Afrika Kusini yajitoa mapema kuwa mwenyeji AFCON 2015

Waziri wa Michezo wa Afrika Kusini, Fikile Mbalula amesema nchi yake hapo tayari kuandaa fainali za Mataifa ya Afrika 2015 kama Morocco watajitoa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kufuzu AFCON:Taifa Stars yajiandaa

Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania (Taifa Stars), Mdachi Mart Nooij, amewaita wachezaji 16 kwa ajili ya maandalizi

 

10 years ago

StarTV

Kufuzu AFCON, DRC yaipiga Ivory Cost 4-3.

Usiku wa kuamkia leo ulikuwa ni usiku wa bara la Afrika huku timu kadhaa zikijitupa uwanjani kutafuta tiketi ya kufuzu kwa fainali za mataifa ya Afrika yatakayofanyika mwakani huko nchini Moroko.

 
Tunisia walikuwa wenyeji kucheza dhidi ya Senegal, hadi kipyenga cha mwisho Tunisia ikaibanjua Senegal bao 1-0.

 
Nao mabingwa wa kihistoria Misri walimenyana na Botswana, hadi mwisho wa mchezo huo wenyeji Misri wakaibuka kidedea kwa kuwaangamiza wageni wao bao 2-0.

 
Mashabiki wa Ivory Coast...

 

10 years ago

Mwananchi

KUFUZU AFCON 2015: Nigeria, Ivory Coast zakalia kuti kavu

>Timu za Nigeria na Ivory Coast zipo katika wakati mgumu wa kufuzu kushiriki Fainali za Mataifa (Afcon 2015) baada ya kuwa katika nafasi za chini katika makundi yao.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mechi za kufuzu fainali za kombe Afrika

Mechi za kufuzu tiketi ya kushiriki michuano ya Kombe la Afrika zaendelea

 

11 years ago

GPL

STARS YASHINDWA KUFUZU KOMBE LA MATAIFA AFRIKA

Kikosi cha Stars. TIMU ya Taifa ya Tanzania, 'Taifa Stars' imeondolewa katika kinyang'anyiro cha kuwania kufuzu kucheza Kombe la Mataifa Afrika 2015 baada ya kufungwa mabao 2-1 na timu ya Taifa ya Msumbiji 'Mambaz' leo. Mechi hiyo imepigwa mjini Maputo nchini Msumbiji ambapo Stars imeondolewa kwa jumla ya mabao 4-3 baada ya sare ya 2-2 katika mchezo kwa kwanza uliopigwa jijini Dar Julai 20 mwaka huu. ...

 

10 years ago

Vijimambo

AZAM YATOLEWA KUWANIA KUFUZU KLABU BINGWA AFRIKA

azam sudan 3KLABU ya Azam imeungana na wenzao wa KMKM ya Zanzibar kuaga mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya usiku huu kunyukwa mabao 3-0 na El Merreikh ya Sudan na hivyo kutolewa kwa jumla a mabao 3-2.Azam walienda Sudan wakiwa na hazina ya mabao 2-0 iliyopata katika mechi ya mkondo wa kwanza wiki mbili zilizopita, lakini wenyeji walitumia nafasi ya kucheza nyumbani kunadili matokea kama kocha wao alivyoatamba mapema na Azam kuaga mashindano. El Merreikh walikosa pia penati baada ya...

 

10 years ago

Mwananchi

TFF yaomba kuandaa Afcon 2017

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limetangaza nia ya kuandaa Fainali za Mataifa ya Afrika za 2017 baada ya Libya kujitoa kwa kutokana na sababu za kiusalama.

 

10 years ago

TheCitizen

SOCCER: TFF eyes Afcon hosting rights

>The Tanzania Football Federation (TFF) has made a preliminary bid to host the 2017 Africa Cup of Nations finals, just days after Libya surrendered its right to host the event.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani