Kufuzu AFCON, DRC yaipiga Ivory Cost 4-3.
Usiku wa kuamkia leo ulikuwa ni usiku wa bara la Afrika huku timu kadhaa zikijitupa uwanjani kutafuta tiketi ya kufuzu kwa fainali za mataifa ya Afrika yatakayofanyika mwakani huko nchini Moroko.
Tunisia walikuwa wenyeji kucheza dhidi ya Senegal, hadi kipyenga cha mwisho Tunisia ikaibanjua Senegal bao 1-0.
Nao mabingwa wa kihistoria Misri walimenyana na Botswana, hadi mwisho wa mchezo huo wenyeji Misri wakaibuka kidedea kwa kuwaangamiza wageni wao bao 2-0.
Mashabiki wa Ivory Coast...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi10 Nov
KUFUZU AFCON 2015: Nigeria, Ivory Coast zakalia kuti kavu
10 years ago
BBCSwahili16 Oct
DRC yaiabisha Ivory Cost
10 years ago
BBCSwahili26 May
Kufuzu AFCON:Taifa Stars yajiandaa
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-d9SpGLgknfk/VGnVbBD1wzI/AAAAAAAGxx4/pFCyNLjYrd0/s72-c/Nembo-ya-TFF.jpg)
TFF YAIPONGEZA AFRIKA KUSINI KWA KUFUZU AFCON
![](http://1.bp.blogspot.com/-d9SpGLgknfk/VGnVbBD1wzI/AAAAAAAGxx4/pFCyNLjYrd0/s1600/Nembo-ya-TFF.jpg)
Afrika Kusini iliifunga Sudan mabao 2-1, hivyo kufuzu kabla ya kukamilisha michezo yote. Bafana Bafana bado imebakiza mchezo mmoja katika hatua hiyo.
Wakati huo huo, TFF imeipeleka barua ya shukrani kwa Chama cha Mpira wa Miguu Afrika Kusini (SAFA) kwa kufanikisha kambi ya Taifa...
9 years ago
Dewji Blog12 Nov
Ivory Coast kuwakosa Bony, Kalou na Toure katika mchezo wao wa kufuzu kombe la dunia Urusi 2018
Mchezaji wa Ivory Coast, Wilfred Bony
Na Rabi Hume
Timu ya Taifa ya Ivory Coast itakosa huduma ya wachezaji wake watatu muhimu katika mchezo wa kutafuta nafasi ya kucheza kombe la dunia dhidi ya Liberia.
Kocha mkuu wa timu ya taifa ya Ivory Coast, Michael Dussuyer amewataja wachezaji hao kuwa ni Wilfred Bony, Solomon Kalou na Thomas Toure.
Kocha Dussuyer amesema tayari tayari ameita wachezaji wengine ambao watazipa nafasi zao ambao ni mshambuliaji Roger Assele na beki Arthur Baka ambao...
10 years ago
BBCSwahili19 Nov
Wanajeshi waandamana,Ivory Cost
10 years ago
BBCSwahili27 Jan
AFCON: DRC yasonga, Zambia yaaga
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kwvKg1TQ8fUbnvQln-pObzac4yK3L4U3lOzMF38sQkUvS6zkIEfK-C2WxzCwG5J*AQBNguFwwYtTwpQbdI5KwN3YBXfhNh2h/zambianacapeverde.jpg)
DRC, TUNISIA ZATINGA ROBO FAINALI AFCON 2015