Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AFCON: DRC yasonga, Zambia yaaga

Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imekuwa timu pekee kutoka ukanda wa Afrika Mashariki na Kati kusonga hatua ya hatua ya robo fainali ya michuano Kombe la Mataifa ya Afrika

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

AFCON: Ghana na Algeria yasonga mbele

Ghana na Algeria zimesonga mbele hatua ya robo fainali ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kutoka kundi C.

 

10 years ago

BBC

Kalaba to lead Zambia at Afcon

Zambia coach Honour Janza gives captain's armband to Rainford Kalaba as he announces his squad for the Africa Cup of Nations.

 

10 years ago

StarTV

Kufuzu AFCON, DRC yaipiga Ivory Cost 4-3.

Usiku wa kuamkia leo ulikuwa ni usiku wa bara la Afrika huku timu kadhaa zikijitupa uwanjani kutafuta tiketi ya kufuzu kwa fainali za mataifa ya Afrika yatakayofanyika mwakani huko nchini Moroko.

 
Tunisia walikuwa wenyeji kucheza dhidi ya Senegal, hadi kipyenga cha mwisho Tunisia ikaibanjua Senegal bao 1-0.

 
Nao mabingwa wa kihistoria Misri walimenyana na Botswana, hadi mwisho wa mchezo huo wenyeji Misri wakaibuka kidedea kwa kuwaangamiza wageni wao bao 2-0.

 
Mashabiki wa Ivory Coast...

 

10 years ago

BBCSwahili

Zambia yataja kikosi cha AFCON 2015

Kocha mkuu wa Timu ya Taifa ya Zambia Honor Janza ameteua kikosi kipya ambacho kina jumla ya wachezaji 27 kwa mwaka 2015 .

 

10 years ago

GPL

DRC, TUNISIA ZATINGA ROBO FAINALI AFCON 2015

Zambia wakikwaana na Cape Verde leo. TIMU za Tunisia na DR Congo zimefanikiwa kutinga hatua ya Robo Fainali Afcon 2015 kutoka Kundi B huku Cape Verde na Zambia zikiaga mashindano hayo yanayoendelea huko Equitorial Guinea. DRC wakimenyana na Tunisia. Timu hizo zimetinga hatua hiyo baada ya kutoka sare ya bao 1-1 kwenye mchezo wao wa mwisho uliopigwa leo huku Zambia na Cape Verde wakitoka suluhu na kuondolewa. Zambia na… ...

 

11 years ago

BBCSwahili

Uhispania yaaga Brazil2014

Uhispania imeyaaga mashindano ya Brazil2014 kwa ushindi wa 3-0 dhidi ya Australia

 

11 years ago

BBCSwahili

Majeshi ya UK yaaga Afghanistan

Wanajeshi wa Uingereza Kusini mwa nchi hiyo wameshaondolewa na hatamu zote kukabidhiwa Waafghani wenyewe, isipokuwa Kambi mbili tu za kijeshi zilizobaki nchini Afghanistan.

 

10 years ago

BBCSwahili

Yanga yaaga kombe la Mapinduzi

Yanga imeng'oka katika michuano ya Kombe la Mapinduzi baada ya kufungwa bao 1-0 na JKU.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani