DRC, TUNISIA ZATINGA ROBO FAINALI AFCON 2015
![](http://api.ning.com:80/files/kwvKg1TQ8fUbnvQln-pObzac4yK3L4U3lOzMF38sQkUvS6zkIEfK-C2WxzCwG5J*AQBNguFwwYtTwpQbdI5KwN3YBXfhNh2h/zambianacapeverde.jpg)
Zambia wakikwaana na Cape Verde leo. TIMU za Tunisia na DR Congo zimefanikiwa kutinga hatua ya Robo Fainali Afcon 2015 kutoka Kundi B huku Cape Verde na Zambia zikiaga mashindano hayo yanayoendelea huko Equitorial Guinea. DRC wakimenyana na Tunisia. Timu hizo zimetinga hatua hiyo baada ya kutoka sare ya bao 1-1 kwenye mchezo wao wa mwisho uliopigwa leo huku Zambia na Cape Verde wakitoka suluhu na kuondolewa. Zambia na… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SsTAFdoJMhvukAs6Gu2e93eivLnXlkiHpe8tOX8sZJQy5RNMs5cnBfrR7xQUzgvRWmB-M4FOeeD7U4VX1BHruxSh9fQxok1u/malinaguinea.jpg)
MALI, IVORY COAST NAZO ZATINGA ROBO FAINALI AFCON
11 years ago
Mwananchi21 Jan
Nigeria, Mali zatinga robo fainali
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ARLRee19CK7oejnYCIEw9GYAqjOeafJ-3ZIbpWf0HY3qvs1yCVzExcAbSf1e2YJc44oLDcp*bNzMzlK9PRUMpkWd6WTO5f3a/barca.jpg)
BARCELONA, PSG ZATINGA ROBO FAINALI LIGI YA MABINGWA ULAYA
11 years ago
Mwananchi30 Jun
BRAZIIL 2014: Costa Rica, Uholanzi zatinga robo fainali
10 years ago
BBCSwahili28 Jan
AFCON: Ayew aipaisha Ghana robo fainali
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pPSIfXxESuz95xAVPeHKrUcDVJUY0vmIBujIqfjREBQKb33miCtr0HTniwaZazccXpci88Ka5cYokjKA8tNkR83HCxK*8QWk/afcon.jpg)
IVORY COAST YATINGA FAINALI AFCON 2015
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dxMtz2qcX6o/XlVDwRJphfI/AAAAAAALfZU/CmzMoR33AfMOnaZCOQqdu2fh37EuQn7wwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-25%2Bat%2B18.55.52.jpeg)
SIMBA YATANGULIA ROBO FAINALI HATUA YA ROBO FAINAL MICHUANO YA AZAM SPORT FEDERATION CUP
![](https://1.bp.blogspot.com/-dxMtz2qcX6o/XlVDwRJphfI/AAAAAAALfZU/CmzMoR33AfMOnaZCOQqdu2fh37EuQn7wwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-25%2Bat%2B18.55.52.jpeg)
TIMU ya soka ya Simba ya jijini Dar es Salaam imefanikiwa kuingia hatua robo faina ya michuano ya Azam Sports Federation CUP baada ya kuibuka na ushindi kwenye mchezo wao wa leo dhidi ya Stand United.
Mchezo kati ya timu ya Simba na Stand United umepigwa katika dimba la Kambarage Shinyanga na hadi mpira huo unamaliza timu hizo zilitoka sare ya bao 1-1 na hivyo kuingia hatua ya matuta.
Hatua hiyo ya matuta iliiwezesha Simba kushinda penalt 3 -2 ambapo kwa...
10 years ago
BBCSwahili15 May
Dnipro-Sevilla zatinga fainali
10 years ago
BBCSwahili23 Apr
Timu 4 zatinga nusu fainali,Ulaya