Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


IVORY COAST YATINGA FAINALI AFCON 2015

Kipa wa DRC, Kidiaba akijaribu kuokoa mpira wa kichwa ulipigwa na Gervinho bila mafanikio. Hata hivyo mpira huo uliokolewa na mchezaji wa DRC ukielekea nyavuni. KIKOSI cha Ivory Coast kikiongozwa na nahodha wake, Yaya Toure kimefanikiwa kutinga katika fainali za michuano ya Afcon 2015 baada ya kuichapa DR Congo mabao 3-1 katika mechi ya nusu fainali iliyopigwa usiku huu Equitorial Guinea. Wafungaji wa mabao ya Ivory Coast...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Ivory Coast yatinga fainali za Afcon

Ivory Coast wamefuzu kucheza fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika, Afcon baada ya kuilaza Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo 3-1

 

10 years ago

BBCSwahili

AFCON nusu fainali ni Congo na Ivory Coast

Kombe la Mataifa ya Afrika, AFCON, inaendelea leo hatua ya nusu fainali kwa Ivory Coast kupambana na DR Congo.

 

10 years ago

GPL

MALI, IVORY COAST NAZO ZATINGA ROBO FAINALI AFCON

Mali wakipambana na Guinea. TIMU za Mali na Ivory Coast nazo zimefanikiwa kutinga hatua ya Robo Fainali ya Kombe la Mataifa Afrika 2015 kutoka Kundi D huku Guinea na Cameroon wakiyaaga mashindano hayo. Ivory Coast wakipongezana kwa ushindi dhidi ya Cameroon usiku huu. Mali wamesonga mbele baada ya sare ya bao 1-1 dhidi ya Guinea huku Ivory Coast wakiwachapa Cameroon bao 1-0. Kwa matokeo hayo Mali na Ivory Coast… ...

 

10 years ago

GPL

IVORY COAST BINGWA AFCON 2015

Mabingwa wapya wa Kombe la Mataifa Afrika 2015, Ivory Coast wakipozi na kombe leo. Straika wa Manchester City, Wilfried Bony akiwa amembeba shujaa wa Ivory Coast Boubacar Barry (katikati), aliyefunga penalti ya mwisho.…

 

10 years ago

Mwananchi

AFCON: Ivory Coast wafalme wa Afrika 2015

>Ivory Coast imefanikiwa kutwaa ubingwa wa fainali za Mataifa ya Afrika 2015, katika mchezo wa kihistoria wa mikwaju ya penalti 9-8.

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Ivory Coast yatwaa kombe la AFCON 2015

Timu ya taifa ya Ivory Coast imenyakua kombe la mataifa ya Afrika, AFCON 2015 kwa kuitandika timu ya Ghana kwa mikwaju ya penalti mjini Bata, Equatorial Guinea. Ivory Coast imeshinda kombe hilo kwa mara ya kwanza tangu mwaka 1992. Mlinda mlango nambari mbili wa Ivory Coast ndiye aliyeipa ushindi timu yake Ghana walipata penalti 8 […]

 

10 years ago

Mwananchi

KUFUZU AFCON 2015: Nigeria, Ivory Coast zakalia kuti kavu

>Timu za Nigeria na Ivory Coast zipo katika wakati mgumu wa kufuzu kushiriki Fainali za Mataifa (Afcon 2015) baada ya kuwa katika nafasi za chini katika makundi yao.

 

10 years ago

Dewji Blog

Ivory Coast yatwaa ubingwa kombe la AFCON 2015 kwa kuichapa Ghana 9-8

0f746cc1-2dc6-49fb-a44f-c7adb6a14c7f-2060x1236

Ivory Coast v Ghana Photograph: Khaled Desouki/AFP/Getty Images

And Barry scores!!!!! IVORY COAST ARE 2015 AFRICA CUP OF NATIONS CHAMPIONS.

What an amazing way to finish it. They could not be separated after 90 minutes. They could not be separated after an additional 30. The regular five penalties could not separate them either and it went all the way to the goalkeepers in sudden death. Braimah had his saved by Barry, who then stepped up to score the deciding kick.

Congratulations to Ivory...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani