AFCON: Ayew aipaisha Ghana robo fainali
Ghana yafuzu kucheza robo fainali michuano ya Afcon wakiicharaza Afrika Kusini 2-1
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
DRC, TUNISIA ZATINGA ROBO FAINALI AFCON 2015
Zambia wakikwaana na Cape Verde leo. TIMU za Tunisia na DR Congo zimefanikiwa kutinga hatua ya Robo Fainali Afcon 2015 kutoka Kundi B huku Cape Verde na Zambia zikiaga mashindano hayo yanayoendelea huko Equitorial Guinea. DRC wakimenyana na Tunisia. Timu hizo zimetinga hatua hiyo baada ya kutoka sare ya bao 1-1 kwenye mchezo wao wa mwisho uliopigwa leo huku Zambia na Cape Verde wakitoka suluhu na kuondolewa. Zambia na… ...
10 years ago
GPL
MALI, IVORY COAST NAZO ZATINGA ROBO FAINALI AFCON
Mali wakipambana na Guinea. TIMU za Mali na Ivory Coast nazo zimefanikiwa kutinga hatua ya Robo Fainali ya Kombe la Mataifa Afrika 2015 kutoka Kundi D huku Guinea na Cameroon wakiyaaga mashindano hayo. Ivory Coast wakipongezana kwa ushindi dhidi ya Cameroon usiku huu. Mali wamesonga mbele baada ya sare ya bao 1-1 dhidi ya Guinea huku Ivory Coast wakiwachapa Cameroon bao 1-0. Kwa matokeo hayo Mali na Ivory Coast… ...
10 years ago
GPL
TASWIRA ZA VURUGU ZA MASHABIKI WAKATI WA MECHI YA NUSU FAINALI AFCON KATI YA GHANA NA EQUATORIAL GUINEA
Helkopta ya polisi ikijaribu kutuliza ghasia wakati wa mechi kati ya Ghana na wenyeji Equatorial Guinea jana. Wachezaji wa Ghana wakitolewa uwanjani chini ya ulinzi mkali baada ya vurugu kutokea.…
5 years ago
Michuzi
SIMBA YATANGULIA ROBO FAINALI HATUA YA ROBO FAINAL MICHUANO YA AZAM SPORT FEDERATION CUP

TIMU ya soka ya Simba ya jijini Dar es Salaam imefanikiwa kuingia hatua robo faina ya michuano ya Azam Sports Federation CUP baada ya kuibuka na ushindi kwenye mchezo wao wa leo dhidi ya Stand United.
Mchezo kati ya timu ya Simba na Stand United umepigwa katika dimba la Kambarage Shinyanga na hadi mpira huo unamaliza timu hizo zilitoka sare ya bao 1-1 na hivyo kuingia hatua ya matuta.
Hatua hiyo ya matuta iliiwezesha Simba kushinda penalt 3 -2 ambapo kwa...
10 years ago
Vijimambo06 Feb
GHANA 3-0 EQUATORIAL GUINEA AFCON 2015 GHANA KUCHEZA NA IVORY COAST FINAL JUMAPILI.



10 years ago
BBC
Swansea sign Ghana forward Ayew
Ghana forward Andre Ayew joins Swansea City on a free transfer after leaving Marseille, signing a four-year deal.
11 years ago
BBC
Ghana's Jordan Ayew signs for Lorient
Ghana forward Jordan Ayew signs a four-year deal with Lorient from French rivals Marseille.
10 years ago
BBC
Aston Villa sign Ghana striker Ayew
Aston Villa sign Ghana striker Jordan Ayew, as they look to replace Liverpool's Christian Benteke.
11 years ago
BBC
Jordan Ayew hat-trick inspires Ghana
Jordan Ayew scores a hat-trick after coming off the bench as Ghana sweep aside South Korea 4-0 in a World Cup warm-up.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania