Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TASWIRA ZA VURUGU ZA MASHABIKI WAKATI WA MECHI YA NUSU FAINALI AFCON KATI YA GHANA NA EQUATORIAL GUINEA

Helkopta ya polisi ikijaribu kutuliza ghasia wakati wa mechi kati ya Ghana na wenyeji Equatorial Guinea jana. Wachezaji wa Ghana wakitolewa uwanjani chini ya ulinzi mkali baada ya vurugu kutokea.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

GHANA 3-0 EQUATORIAL GUINEA AFCON 2015 GHANA KUCHEZA NA IVORY COAST FINAL JUMAPILI.

 wachezaji wa Ghana  wakishangilia ushindi na kutinga fainali baada ya kuwakunja wenyewe Equatorial Guinea 3-0  kwaiyo sasa  Ghana kukutana na Ivory Coast tarehe 8 kwenye fainali. Baada ya kipenga cha mwisho wenyewe wa mashindano hayo ya AFCON walikuwa wamekubali kipigo cha magoli matatu ndipo washabiki walivyoanzisha timbwili hili uwanjani hapo.Hali ilionekana siyo shwari toka kipindi cha kwanza pale Ghana walivyo pewa penati ya mapema hii hapa ilikuwa baada ya dk 45 za kwanza washabiki...

 

10 years ago

GPL

EQUATORIAL GUINEA MWENYEJI AFCON 2015‬

SHIRIKISHO la Soka Barani Afrika (CAF) limeitangaza Equatorial Guinea kuwa mwenyeji wa michuano ya Kombe la Mataifa Afrika (AFCON) 2015 baada ya Morocco kukataa kuandaa michuano hiyo kwa hofu ya kusambaa kwa ugonjwa wa Ebola. CAF imeiondoa kabisa Morocco katika timu zitakazoshiriki na sasa nafasi yake inachukuliwa na Equatorial Guinea ambayo mwaka 2012 iliandaa mashindano hayo kwa kushirikiana na Gabon. ...

 

10 years ago

BBC

Ghana v Equatorial Guinea

Preview followed by live coverage of Thursday's Africa Cup of Nations semi-final between Ghana and Equatorial Guinea.

 

10 years ago

BBCSwahili

AFCON nusu fainali ni Congo na Ivory Coast

Kombe la Mataifa ya Afrika, AFCON, inaendelea leo hatua ya nusu fainali kwa Ivory Coast kupambana na DR Congo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ghana yatinga nusu Fainali

Ghana imekua timu ya tatu kutinga nusu fainali ya kombe la mataifa ya Afrika ,baada ya kuibanjua Guinea kwa mabao 3-0.

 

10 years ago

BBCSwahili

AFCON: Ayew aipaisha Ghana robo fainali

Ghana yafuzu kucheza robo fainali michuano ya Afcon wakiicharaza Afrika Kusini 2-1

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani