Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uhispania yaaga Brazil2014

Uhispania imeyaaga mashindano ya Brazil2014 kwa ushindi wa 3-0 dhidi ya Australia

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Onyesho la Brazil2014 lalipuliwa Nigeria

Kumetokea mlipuko wa Bomu katika eneo la kuonyesha mechi za kombe la dunia nchini Nigeria

 

11 years ago

BBCSwahili

Majeshi ya UK yaaga Afghanistan

Wanajeshi wa Uingereza Kusini mwa nchi hiyo wameshaondolewa na hatamu zote kukabidhiwa Waafghani wenyewe, isipokuwa Kambi mbili tu za kijeshi zilizobaki nchini Afghanistan.

 

10 years ago

BBCSwahili

Yanga yaaga kombe la Mapinduzi

Yanga imeng'oka katika michuano ya Kombe la Mapinduzi baada ya kufungwa bao 1-0 na JKU.

 

10 years ago

BBCSwahili

AFCON: DRC yasonga, Zambia yaaga

Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imekuwa timu pekee kutoka ukanda wa Afrika Mashariki na Kati kusonga hatua ya hatua ya robo fainali ya michuano Kombe la Mataifa ya Afrika

 

11 years ago

GPL

HISPANIA YAAGA KOMBE LA DUNIA KWA AIBU

Iker Casillas na Iniesta wakitoka uwanjani vichwa chini baada ya kipigo. Kocha wa Hispania, Vicente Del Bosque akiwa haamini kilichotokea.…

 

9 years ago

Mwananchi

Z’bar yaaga kishujaa, Kili Stars leo

Zanzibar Heroes ikiwa katika ubora wake ilikumbuka shuka kukiwa kumekucha baada ya kuikamua Harambee Stars ya Kenya kwa mabao 3-1 katika pambano la kukamilishia ratiba la Kombe la Chalenji.

 

10 years ago

Africanjam.Com

BRAZIL YAAGA COPA AMERICA KWA MIKWAJU YA PENATI


Brazil imetupwa nje ya michuano ya michuano ya Copa America kwa mikwaju ya penati kufuatia kwenda sare ya kufungana goli 1-1 dhidi ya Paraguay kwenye dakika 90 za mchezo na kuufanya mchezo huo kuamuliwa kwa matuta ndipo Brazil walipotupwa nje ya mashindano kwa penati 4-3 kwenye mchezo wa robo fainali uliopigwa kwenye dimba la Ester Roa Rebolledo huko Chile.
Brazil ndio walikuwa wa kwanza kupata goli kwenye dakika za kawaida (90’) kupitia kwa Robinho aliyeifungia timu yake dakika ya 15 kipindi...

 

11 years ago

BBCSwahili

Chile kuchuana na Uhispania

Mabingwa watetezi Uhispania wanatafuta ushindi dhidi ya Chile baada ya kushindwa na Uholanzi katika kombe la dunia Brazil.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ligi ya Uhispania yaahirishwa

Ligi kuu ya Uhispania La Liga imepigwa marufuku.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani