Onyesho la Brazil2014 lalipuliwa Nigeria
Kumetokea mlipuko wa Bomu katika eneo la kuonyesha mechi za kombe la dunia nchini Nigeria
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziDJ WA NIGERIA KUFANYA ONYESHO NA KUTOA MSAADA KWAJAMII JIJINI DAR ES SALAAM
MTENGENEZAJI wa muziki, mtunzi wa nyimbo na DJ raia wa Nigeria anayefanya kazi zake nchini Marekani Bi.Florence...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-t4pYX9p1pWg/U1mSshirB5I/AAAAAAAFc3w/5Axr9IWL9s4/s72-c/Asia+(kulia)+na+vazi+lake+la+Khanga+katika+moja+ya+maonyesho+yake.jpg)
MAMAA WA MITINGO ASIA IDAROUS KUFANYA ONYESHO LA MIAKA 50, ABUJA, NIGERIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-t4pYX9p1pWg/U1mSshirB5I/AAAAAAAFc3w/5Axr9IWL9s4/s1600/Asia+(kulia)+na+vazi+lake+la+Khanga+katika+moja+ya+maonyesho+yake.jpg)
MBUNIFU mkongwe wa mitindo nchini, Asia Idarous Khamsin anatarajiwa kufanya onyesho kubwa la mavazi ya ubunifu katika maadhimisho ya miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, litakalofanyika Abuja, Nigeria, usiku Aprili 25.
Akizungumza kwa njia ya simu kutoka Abuja, Nigeria, Asia Idarous ambaye pia ni Mkurugenzi wa Fabak Fashions, alisema onyesho lililoandaliwa na Umoja wa watanzania waishio nchini Nigeria, ambapo usiku huo wa Aprili 25, watakutana kwa pamoja na...
11 years ago
BBCSwahili24 Jun
Uhispania yaaga Brazil2014
11 years ago
Habarileo25 Feb
Kanisa la Mkunazini Zanzibar lalipuliwa
MILIPUKO minne imelipuka mjini Zanzibar na kujeruhi watu wanne.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/n6JmThHrscaxAHCKDOE*S*KqZCYiAm9Ph4GFkNQ8RshuGK-p9LBqcbh96lBapsza3RYxma3Aj8Ki7uYgAGwc1K6yFMXyiv7r/cy.jpg?width=650)
BINTI ATIBUA ONYESHO LA SIKINDE
9 years ago
Mtanzania25 Nov
Celine kufanya onyesho la mwisho na mumewe
LOS ANGELES, MAREKANI
MKALI wa sauti, Celine Dion, amesema kuwa anatarajia kufanya shoo ya mwisho siku ya Krismasi akiwa na mume wake, Rene Angelil.
Celine amekuwa kimya kwa muda mrefu kutokana na kumuuguza mume wake huyo ambaye anasumbuliwa na kansa. Hivi karibuni msanii huyo alikuwa akizunguka na mume wake katika maonyesho yake mbalimbali.
Lakini msanii huyo amesema kuwa siku ya sikukuu itakuwa mwisho kufanya shoo akiwa na mume wake, kwa kuwa hali yake haitamwezesha kuzunguka naye kama...
10 years ago
BBCSwahili17 Oct
Wengi wafariki onyesho la bendi Seoul
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ivj69U0teRRWPgFHB6cvfMqj92jVh3FODutzbpBuANgyHxLJTbzH8DK6zYp7SAEGXKwY*Qy0021c0H8qsvjJLnTvymYab8UU/LadyinRedFinal.jpg?width=650)
MIAKA 10 YA ONYESHO LA MITINDO LADY IN RED
11 years ago
Mwananchi23 Feb
Tanzania yawika tena onyesho la mavazi london