Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Onyesho la Brazil2014 lalipuliwa Nigeria

Kumetokea mlipuko wa Bomu katika eneo la kuonyesha mechi za kombe la dunia nchini Nigeria

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

DJ WA NIGERIA KUFANYA ONYESHO NA KUTOA MSAADA KWAJAMII JIJINI DAR ES SALAAM

 Mtengenezaji wa muziki, mtunzi wa nyimbo na DJ raia wa Nigeria anayefanya kazi zake nchini Marekani Bi.Florence Ifeoluwa maarufu kama DJ Cuppy akizungumza na waandishi wa habari katika hoteli ya Slipway jijini Dar  es Salaam.Baadhi ya wa habari wakiwa na Dj Mtengenezaji wa muziki, mtunzi wa nyimbo na DJ raia Nigeria katika hoteli ya Silpway jijini Dar es salaam.DJ Cuppy.
 MTENGENEZAJI wa muziki, mtunzi wa nyimbo na DJ raia wa Nigeria anayefanya kazi zake nchini Marekani Bi.Florence...

 

11 years ago

Michuzi

MAMAA WA MITINGO ASIA IDAROUS KUFANYA ONYESHO LA MIAKA 50, ABUJA, NIGERIA

 Na Andrew Chale
MBUNIFU mkongwe wa mitindo nchini, Asia Idarous Khamsin anatarajiwa kufanya onyesho kubwa la mavazi ya ubunifu katika maadhimisho ya miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, litakalofanyika Abuja, Nigeria,  usiku Aprili 25.
Akizungumza kwa njia ya simu kutoka Abuja, Nigeria,  Asia Idarous ambaye pia ni Mkurugenzi wa Fabak Fashions, alisema onyesho lililoandaliwa na Umoja wa watanzania waishio nchini Nigeria, ambapo usiku huo wa Aprili 25, watakutana kwa pamoja na...

 

11 years ago

BBCSwahili

Uhispania yaaga Brazil2014

Uhispania imeyaaga mashindano ya Brazil2014 kwa ushindi wa 3-0 dhidi ya Australia

 

11 years ago

Habarileo

Kanisa la Mkunazini Zanzibar lalipuliwa

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja, Mkadam Khamis MkadamMILIPUKO minne imelipuka mjini Zanzibar na kujeruhi watu wanne.

 

10 years ago

GPL

BINTI ATIBUA ONYESHO LA SIKINDE

Stori: Richard Bukos, Morogoro
BINTI mmoja aliyeonekana kuzidisha kiburudisho, mwishoni mwa wiki iliyopita alitibua onyesho na kugeuka kuwa burudani baada ya kupanda juu ya jukwaa la Mlimani Park ‘Sikinde Ngoma ya Ukae’ na kuwakumbatia ovyo wanamuziki. Binti akivamia jukwaa baada ya kupiga urabu wa kutosha. Tukio hilo lilitokea wiki iliyopita katika ukumbi wa Railway Club ambako paparazi wetu alimshuhudia binti...

 

9 years ago

Mtanzania

Celine kufanya onyesho la mwisho na mumewe

Celine DionLOS ANGELES, MAREKANI

MKALI wa sauti, Celine Dion, amesema kuwa anatarajia kufanya shoo ya mwisho siku ya Krismasi akiwa na mume wake, Rene Angelil.

Celine amekuwa kimya kwa muda mrefu kutokana na kumuuguza mume wake huyo ambaye anasumbuliwa na kansa. Hivi karibuni msanii huyo alikuwa akizunguka na mume wake katika maonyesho yake mbalimbali.

Lakini msanii huyo amesema kuwa siku ya sikukuu itakuwa mwisho kufanya shoo akiwa na mume wake, kwa kuwa hali yake haitamwezesha kuzunguka naye kama...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wengi wafariki onyesho la bendi Seoul

Watu wapatao 16 wamekufa na wengine 11 kujeruhiwa katika tamasha la muziki mjini Seongnam, kusini mwa Seoul

 

11 years ago

GPL

MIAKA 10 YA ONYESHO LA MITINDO LADY IN RED‏

Miaka 10 ya onyesho la ‘Lady in red’ Februari 14
Wabunifu mbalimbali kupamba.
Wanne Star, Babloom Trio Band kutumbuiza WABUNIFU mbali mbali kupamba  miaka 10 ya onyesho la mavazi lijulikanalo kama ‘Lady in Red Super  brand, 10th Anniversary’  linalotarajiwa kufanyika Februari  14,  ambapo pia litatumbuizwa na burudani kutoka kwa  Babloom Trio bendi na Wanne Star, kwenye Hoteli ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Tanzania yawika tena onyesho la mavazi london

Mwaka jana mwezi kama huu wa Februari, ilikuwa mara ya kwanza Tanzania kuonyesha mavazi yake katika tamasha maarufu la kimataifa la mavazi London

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani