DJ WA NIGERIA KUFANYA ONYESHO NA KUTOA MSAADA KWAJAMII JIJINI DAR ES SALAAM
Mtengenezaji wa muziki, mtunzi wa nyimbo na DJ raia wa Nigeria anayefanya kazi zake nchini Marekani Bi.Florence Ifeoluwa maarufu kama DJ Cuppy akizungumza na waandishi wa habari katika hoteli ya Slipway jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wa habari wakiwa na Dj Mtengenezaji wa muziki, mtunzi wa nyimbo na DJ raia Nigeria katika hoteli ya Silpway jijini Dar es salaam.
DJ Cuppy.
MTENGENEZAJI wa muziki, mtunzi wa nyimbo na DJ raia wa Nigeria anayefanya kazi zake nchini Marekani Bi.Florence...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboDJ WA KINAIJERIA KUFANYA ONYESHO NA KUTOA MSAADA KWA JAMII JIJINI DAR ES SALAAM
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-t4pYX9p1pWg/U1mSshirB5I/AAAAAAAFc3w/5Axr9IWL9s4/s72-c/Asia+(kulia)+na+vazi+lake+la+Khanga+katika+moja+ya+maonyesho+yake.jpg)
MAMAA WA MITINGO ASIA IDAROUS KUFANYA ONYESHO LA MIAKA 50, ABUJA, NIGERIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-t4pYX9p1pWg/U1mSshirB5I/AAAAAAAFc3w/5Axr9IWL9s4/s1600/Asia+(kulia)+na+vazi+lake+la+Khanga+katika+moja+ya+maonyesho+yake.jpg)
MBUNIFU mkongwe wa mitindo nchini, Asia Idarous Khamsin anatarajiwa kufanya onyesho kubwa la mavazi ya ubunifu katika maadhimisho ya miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, litakalofanyika Abuja, Nigeria, usiku Aprili 25.
Akizungumza kwa njia ya simu kutoka Abuja, Nigeria, Asia Idarous ambaye pia ni Mkurugenzi wa Fabak Fashions, alisema onyesho lililoandaliwa na Umoja wa watanzania waishio nchini Nigeria, ambapo usiku huo wa Aprili 25, watakutana kwa pamoja na...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-SU11xMyg3Lw/VXHqgznO-iI/AAAAAAAHcZY/HuG4rqvn9jY/s72-c/unnamedss1.jpg)
wafanyakazi wa Hoteli ya Dar es Salaam Serena waadhimisha siku ya mazingira kwa kufanya usafi maeneo ya barabara jijini dar
Akiongea mara baada ya zoezi hilo la usafi mkurugenzi mkuu wa masoko wa hoteli hiyo ndugu Seraphin Lusala aliwashukuru wafanyakazi wa hoteli hiyo kwa kushiriki katika zoezi hilo la kufanya usafi wa mazingira ili kuonyesha mfano kwa jamii kwamba uchafuzi wa mazingira haukubaliki na...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-mGDEGIIKfGk/VWBI3IhC4CI/AAAAAAABgdQ/zRRQ7LqGoDU/s72-c/IMG_0995.jpg)
THE MBONI SHOW YAADHIMISHA MIAKA MITATU KWA KUTOA MSAADA HOSPITALI YA TAIFA YA MUHIMBILI JIJINI DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-mGDEGIIKfGk/VWBI3IhC4CI/AAAAAAABgdQ/zRRQ7LqGoDU/s640/IMG_0995.jpg)
9 years ago
MichuziWHO YATOA MSAADA WA DAWA ZA KUTAKASA MAJI JIJINI DAR ES SALAAM LEO
10 years ago
MichuziKIBAKA ASHUGULIKIWA MARA BAADYA KUTAKA KUFANYA UHARIFU JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-3TCepeJDKFI/VBIGO0xkfyI/AAAAAAAGjBQ/KcZFQuXH3pA/s72-c/unnamed%2B(3).jpg)
KIVUKO CHA MV KIGAMBONI CHAANZA KUFANYA KAZI LEO JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-3TCepeJDKFI/VBIGO0xkfyI/AAAAAAAGjBQ/KcZFQuXH3pA/s1600/unnamed%2B(3).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-7vwNewQyL_c/VBIGPCBJd_I/AAAAAAAGjBU/pTJvhZIqu4g/s1600/unnamed%2B(4).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-s9vKH3kPN_E/VapkE4152KI/AAAAAAAAR3E/lFqkdNOHWK8/s72-c/1.jpg)
STARTIMES YAKABIDHI MSAADA WA CHAKULA SHULE YA MSINGI MAALUMU YA AIRWING JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-s9vKH3kPN_E/VapkE4152KI/AAAAAAAAR3E/lFqkdNOHWK8/s320/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-T_Iqn_wY4D4/VapkCSTgkYI/AAAAAAAAR28/uZ8kYAkRucs/s640/2.jpg)
9 years ago
MichuziEFM NA BENKI YA DTB KUFANYA USAFI DESEMA 9 MWAKA HUU JIJINI DAR ES SALAAM