WHO YATOA MSAADA WA DAWA ZA KUTAKASA MAJI JIJINI DAR ES SALAAM LEO
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Usitawi wa Jamii Dk Donan Mmbando akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani kwa kulishukuru shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) kwa kutoa msaada wa Dawa za kutakasa maji (Water Guard ) leo jiji Dar es Salaam kulia ni Mwakilishi wa shirika la Afya Ulimwenguni hapa Nchini Dk Rufaro Chatora.
Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza kwa makini Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Usitawi wa Jamii Dk Donan Mmbando leo jiji Dar es Salaam
Mwakilishi wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zLgY_Uq-Ajg/XsPNeXDkutI/AAAAAAALqxM/Y35RBqdzE24S0eX37-wvipDMXnP06hJ_ACLcBGAsYHQ/s72-c/cba2.jpg)
Benki ya CBA (Commercial Bank of Africa (Tanzania) yatoa msaada wa Matanki ya Maji kwa Hospitali za Umma jijini Dar es salaam.
Akikabidhi mchango huo Afisa Mtendaji Mkuu wa CBA, Gift Shoko amesema msaada huo ni sehemu ya hatua zilizochukuliwa na CBA kuunga mkono juhudi za serikali katika kupambana na kusambaa kwa COVID-19 nchini Tanzania.
"Commercial...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-TAY0tFuNku8/VfLkbDTJlRI/AAAAAAAAZNg/QRxYl-YuUMA/s72-c/PPF_ALBINO2.jpg)
PPF YATOA MSAADA KWA WATOTO WENYE ULEMAVU WA NGOZI, SHULE YA MSINGI YA JESHI LA WOKOVU JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-TAY0tFuNku8/VfLkbDTJlRI/AAAAAAAAZNg/QRxYl-YuUMA/s640/PPF_ALBINO2.jpg)
10 years ago
MichuziKampuni ya maji ya Kisima AQUA COOL LTD yatoa msaada wa nguo za kujikinga na mvua kwa wafanyabiashara wadogo wadogo jijini dar
KUTOKANA na mvua kubwa zilizonyesha karibu maeneo yote ya nchi na kuleta maafa hususan katika jijin la Dar es Salaam Kampuni ya Aqua Cool Ltd Watengenezaji wa maji safi ya Kisima Pure Drinking Water imetoa msaada wa mavazi ya kujikinga na mvua ya mpira (ponchos) kwa wakazi wa wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam.
Msaada huo ulitolewa na uongozi na wafanyakazi wa kampuni hiyo kwa makundi mbalimbali kama watembea kwa miguu, mama lishe , waendesha bodaboda na...
10 years ago
VijimamboBOHARI YA DAWA (MSD) YASHIRIKI MAONYESHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA KATIKA VIWANJA VYA MNAZI MMOJA JIJINI DAR ES SALAAM LEO
11 years ago
MichuziTBL YATOA MSAADA WA SH. MIL. 25 ZA KUCHIMBA KISIMA CHA MAJI ZAHANATI YA MAKUBURI, DAR
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hlBnt738bkyZ6lSb3M7zBtwMO12-9QE1b6t*49grqbVlAvg2AxzeegXjGPkBRRtOUMx68aZThgHjZZVKuvMxkdHMGsv-lwmj/2.jpg?width=650)
AIRTEL YATOA MSAADA WA FUTARI JIJINI DAR
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-rxgftbsp-U0/U8UD_LeTyUI/AAAAAAAClbQ/V3qlXaeLP8k/s72-c/1+(2).jpg)
AIRTEL YATOA MSAADA WA FUTARI JIJINI DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-rxgftbsp-U0/U8UD_LeTyUI/AAAAAAAClbQ/V3qlXaeLP8k/s1600/1+(2).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-llmOCYvyYMc/U8UD_DIfS3I/AAAAAAAClbI/KMfzIS5OgqY/s1600/2+(2).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-5uF7oHUYKs4/VdsgPhEGgmI/AAAAAAAAYLw/g5nGhl871Qo/s72-c/magodoro1.jpg)
PSPF YATOA MSAADA WA MAGODORO CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM
![](http://4.bp.blogspot.com/-5uF7oHUYKs4/VdsgPhEGgmI/AAAAAAAAYLw/g5nGhl871Qo/s640/magodoro1.jpg)
10 years ago
Dewji Blog21 Jul
NHC yatoa msaada wa mashine za matofali, Sh. 500,000 kwa vijana walioacha kutumia dawa za kulevya Kigogo, Dar
Vijana waliopata ushauri nasaha wa kuacha kutumia dawa za kulevya, wakishangilia baada ya Meneja wa Huduma kwa Jamii wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Muungano Saguye (aliyevaa koti) kuwakabidhi msaada wa mashine tatu za kufyatulia matofali pamoja na mtaji wa sh. 500,000 katika hafla iliyofanyika kwenye Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Kigogo, Dar es Salaam jana. Katikati mstari wa mbele ni Mchungaji wa kanisa hilo, Jackson Haranja ambaye pia ni mlezi wa...