NHC yatoa msaada wa mashine za matofali, Sh. 500,000 kwa vijana walioacha kutumia dawa za kulevya Kigogo, Dar
Vijana waliopata ushauri nasaha wa kuacha kutumia dawa za kulevya, wakishangilia baada ya Meneja wa Huduma kwa Jamii wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Muungano Saguye (aliyevaa koti) kuwakabidhi msaada wa mashine tatu za kufyatulia matofali pamoja na mtaji wa sh. 500,000 katika hafla iliyofanyika kwenye Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Kigogo, Dar es Salaam jana. Katikati mstari wa mbele ni Mchungaji wa kanisa hilo, Jackson Haranja ambaye pia ni mlezi wa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLNHC YATOA MSAADA WA MASHINE ZA MATOFALI, SH. 500,000 KWA VIJANA WALIOACHA KUTUMIA DAWA ZA KULEVYA KIGOGO, DAR
10 years ago
Michuzi06 Feb
MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM AKABIDHI MASHINE ZA KUFYATULIA MATOFALI ZILIZOTOLEWA NA (NHC) KWA VIKUNDI VYA VIJANA
10 years ago
GPLMKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM AKABIDHI MASHINE ZA KUFYATULIA MATOFALI ZILIZOTOLEWA NA (NHC) KWA VIKUNDI VYA VIJANA
10 years ago
Tanzania Daima02 Sep
NHC yatoa mashine za matofali Kagera
SHIRIKA la Nyumba la Taifa (NHC), limetoa mashine 28 za kufyatulia tofali zenye thamani ya sh milioni 12.6 lengo ikiwa ni kuwasaidia vijana kujiajiri na kuondokana na umasikini. Akizungumza katika...
10 years ago
Michuzi05 Sep
MKUU WA WILAYA YA TEMEKE AKABIDHI MASHINE ZA KUFYATULIA MATOFALI ZILIZOTOLEWA NA (NHC)KWA VIKUNDI VYA VIJANA
![3](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/09/38.jpg)
![4](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/09/46.jpg)
![8](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/09/82.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima04 Feb
NHC yaleta ajira kwa vijana kupitia matofali
MALALAMIKO ya ukosefu wa ajira yamekuwa yakiongezeka siku hadi siku huku lawama hizo zikielekezwa serikalini. Hata hivyo serikali kupitia baadhi ya taasisi zake imekuwa ikitafuta kila mbinu kutatua tatizo hilo...
10 years ago
Mwananchi02 Sep
NHC yagawa mashine za kufyatulia matofali
10 years ago
StarTV07 Jan
Vijana waathirika dawa za kulevya Arusha waomba msaada
Na Ramadhani Mvungi,
Arusha.
Makundi ya vijana wanaoishi katika mazingira hatarishi ambao wameathirika na dawa za kulevya jijini Arusha yameiomba Serikali na wadau wengine wawasaidie kuwapatia matibabu ya afya zao.
Hatua hii itawawezesha kuondokana na maradhi nyemelezi ambayo yanawasababishia vifo baada ya kinga za miili yao kudhoofika.
comprar kamagra baratoKatika zoezi la kuyashawishi makundi ya vijana yaweze kuondoka mitaani na kwenda kuishi kwenye vituo rasmi ili kupatiwa elimu...
10 years ago
Dewji Blog20 Sep
Shirika la nyumba latoa mashine 28 za kufyatulia matofali kwa vijana mkoani Pwani
![](http://4.bp.blogspot.com/-09qHqTAjmrE/VBxlueHaZHI/AAAAAAAAQ90/gCOkPfZhsWY/s1600/9.jpg)
Meneja wa Shirika la Nyumba mkoa wa Pwani Pauline Mrango akisoma Hotuba ya makabidhiano ya mashine 28 za kufyatulia matofali kwa vikundi vya vijana katika halmashauri zote za mkoa wa Pwani.
Shirika la Nyumba la Taifa limetoa mashine hizo zenye gharama ya zaidi ya shilingi milioni 12 pamoja na mafunzo kwa vijana ya wiki mbili ambapo baada ya kumaliza mafunzo Shirika litatoa msaada wa shilingi laki tano kwa kila kikundi kama mtaji .
![](http://3.bp.blogspot.com/-zhpwxVDIzOc/VBxl0ndL_gI/AAAAAAAAQ-E/aYbQztU4ANM/s1600/10.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akimpa...