MKUU WA WILAYA YA TEMEKE AKABIDHI MASHINE ZA KUFYATULIA MATOFALI ZILIZOTOLEWA NA (NHC)KWA VIKUNDI VYA VIJANA
Mkuu wa Wilaya ya Temeke Bi. Sophia Mjema akipokea mashine za kufyatulia matofali kutoka kwa Meneja wa Shirika la Nyumba la Taifa NHC Wilaya ya Temeke Bw. Wencenslaus Tillya ambazo zilikabidhiwa kwa vikundi vya vijana wilayani humo.
Mkuu wa Wilaya ya Temeke Bi. Sophia Mjema akikabidhi mashine kwa mwenyekiti wa kikundi cha Sokoine Youth Development William Gabriel.
Mkuu wa wilaya ya Temeke Bi. Sophia Mjema akikabidhi mashine ya kufyatulia matofali mwenyekiti wa kikundi cha Chapakazi Youth Youth...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi06 Feb
MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM AKABIDHI MASHINE ZA KUFYATULIA MATOFALI ZILIZOTOLEWA NA (NHC) KWA VIKUNDI VYA VIJANA
10 years ago
GPLMKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM AKABIDHI MASHINE ZA KUFYATULIA MATOFALI ZILIZOTOLEWA NA (NHC) KWA VIKUNDI VYA VIJANA
10 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/09/56.jpg?width=650)
MKUU WA WILAYA YA TEMEKE AKABIDHI MASHINE ZA KUFYATULIA MATOFALI
10 years ago
Mwananchi02 Sep
NHC yagawa mashine za kufyatulia matofali
10 years ago
Dewji Blog20 Sep
Shirika la nyumba latoa mashine 28 za kufyatulia matofali kwa vijana mkoani Pwani
![](http://4.bp.blogspot.com/-09qHqTAjmrE/VBxlueHaZHI/AAAAAAAAQ90/gCOkPfZhsWY/s1600/9.jpg)
Meneja wa Shirika la Nyumba mkoa wa Pwani Pauline Mrango akisoma Hotuba ya makabidhiano ya mashine 28 za kufyatulia matofali kwa vikundi vya vijana katika halmashauri zote za mkoa wa Pwani.
Shirika la Nyumba la Taifa limetoa mashine hizo zenye gharama ya zaidi ya shilingi milioni 12 pamoja na mafunzo kwa vijana ya wiki mbili ambapo baada ya kumaliza mafunzo Shirika litatoa msaada wa shilingi laki tano kwa kila kikundi kama mtaji .
![](http://3.bp.blogspot.com/-zhpwxVDIzOc/VBxl0ndL_gI/AAAAAAAAQ-E/aYbQztU4ANM/s1600/10.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akimpa...
10 years ago
Dewji Blog21 Jul
NHC yatoa msaada wa mashine za matofali, Sh. 500,000 kwa vijana walioacha kutumia dawa za kulevya Kigogo, Dar
Vijana waliopata ushauri nasaha wa kuacha kutumia dawa za kulevya, wakishangilia baada ya Meneja wa Huduma kwa Jamii wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Muungano Saguye (aliyevaa koti) kuwakabidhi msaada wa mashine tatu za kufyatulia matofali pamoja na mtaji wa sh. 500,000 katika hafla iliyofanyika kwenye Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Kigogo, Dar es Salaam jana. Katikati mstari wa mbele ni Mchungaji wa kanisa hilo, Jackson Haranja ambaye pia ni mlezi wa...
10 years ago
GPLNHC YATOA MSAADA WA MASHINE ZA MATOFALI, SH. 500,000 KWA VIJANA WALIOACHA KUTUMIA DAWA ZA KULEVYA KIGOGO, DAR
10 years ago
VijimamboMKUU WA WILAYA BUSEGA, PAUL MZINDAKAYA AKABIDHI POWER TILLER KWA VIKUNDI VINNE WILAYANI HUMO
MKUU wa Wilaya ya Busega mkoani Simiyu Paul Mzindakaya amevikabidhi Power tTiller vikundi vinne vinavyojishughulisha na kilimo bora wilayani humo ili viweze kuondokana na...