Benki ya CBA (Commercial Bank of Africa (Tanzania) yatoa msaada wa Matanki ya Maji kwa Hospitali za Umma jijini Dar es salaam.
![](https://1.bp.blogspot.com/-zLgY_Uq-Ajg/XsPNeXDkutI/AAAAAAALqxM/Y35RBqdzE24S0eX37-wvipDMXnP06hJ_ACLcBGAsYHQ/s72-c/cba2.jpg)
Benki ya Commercial Bank of Africa (CBA) Tanzania imetoa msaada wa matanki nane ya maji yasiyo na mkono kwa hospitali nne zilizochaguliwa jijini Dar es salaam kukabiliana na mahitaji yanayoongezeka ya kusafisha mikono ambayo ni hatua muhimu katika kupambana na COVID-19.
Akikabidhi mchango huo Afisa Mtendaji Mkuu wa CBA, Gift Shoko amesema msaada huo ni sehemu ya hatua zilizochukuliwa na CBA kuunga mkono juhudi za serikali katika kupambana na kusambaa kwa COVID-19 nchini Tanzania.
"Commercial...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-9cShK2foXnM/Va-hWz-isdI/AAAAAAAHrD0/YndRxZCO_NQ/s72-c/unnamed%2B%252846%2529.jpg)
BENKI YA KCB TANZANIA YATOA MSAADA WA MADWATI 1000 KWA SHULE KUMI ZA DAR ES SALAAM
![](http://4.bp.blogspot.com/-9cShK2foXnM/Va-hWz-isdI/AAAAAAAHrD0/YndRxZCO_NQ/s640/unnamed%2B%252846%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-b5ENpZYD5Rw/Va-hWx0KYVI/AAAAAAAHrDw/GAGmLD_sxNU/s640/unnamed%2B%252847%2529.jpg)
9 years ago
MichuziWHO YATOA MSAADA WA DAWA ZA KUTAKASA MAJI JIJINI DAR ES SALAAM LEO
10 years ago
Michuzi21 Mar
BENKI YA CBA YATOA MSAADA WA ZAIDI YA SHILINGI MILIONI 3 KWA SHULE YA SINGISI ARUSHA
![IMG_8466](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/qBbHn3ex1QH4wUhuFuh6XuEWW6G8KKw9y823fiV9-Xr-UwItodKhA7ODKuTZzVfjvsmX3rrI0gYQdqq2bsXSIO1VfAEz7leCiMI84tllMJPFs1MBzH64QsA=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/03/img_8466.jpg?w=660)
Meneja Masoko wa bank ya CBA Bw. Sollomon Kawiche akisoma hutuba wakati walipokuja kutoa msaada chek ya fedha Shiling Million Tatu na laki Nane katika Shule ya msingi na Ufundi Singisi kwa ajiliya kununua vifaa vya umeme vya kujifunzia kwa wanafunzi wa ufundi shulen hapo.Aliyeko kulia ni mwalimu Mkuu wa shule ya Msingi Singisi Janeth Ayo na watatu kulia ni meneja wa Kanda CBA Juliana Mwansuva(Picha na Jamiiblog)
![IMG_8493](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/RzU6zQqPdnN_-Kh2UH2uFeVWmb0zfbrn7_-r1nsCKnR42Fm3Lngs4m13jdIAP9QrV98tQce-ODyS0wGrZ3_f_vEz6HNFzm45nZddZOIC_GX9B4JSayqyF6s=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/03/img_8493.jpg?w=660)
Meneja wa Kanda wa Bank ya CBA Juliana Mwamsuva akimkabidhi Mwalimu mkuu...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-FPQlNNWcNxQ/VZDl8Hcq2TI/AAAAAAAAerQ/HXuehvSb4Aw/s72-c/Futari%2B2..jpg)
BENKI YA CBA TANZANIA YAFUTURISHA WATEJA WAKE DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-FPQlNNWcNxQ/VZDl8Hcq2TI/AAAAAAAAerQ/HXuehvSb4Aw/s320/Futari%2B2..jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/--4cL3Lld8UE/VZDl-51o4bI/AAAAAAAAerY/3SN0IpdJkn0/s640/Futari%2B1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-tZT-PjjOg3U/VZDmUVLhyYI/AAAAAAAAerg/dwTqqb5tR8s/s640/Mkurugenzi%2B2..jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1aXVF0ZZFC0/VZDmWLt0FbI/AAAAAAAAero/9Fdj3mMp7dk/s640/Mkurugenzi%2B3..jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-7jTp9WEcx-4/VZDmXK7v2OI/AAAAAAAAerw/uSVgOc5ECiQ/s640/Pamoja%2B1..jpg)
.MkurugenzI na Maofisa...
9 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YATOA MSAADA WA MADAWATI 200 KWA SHULE YA MSINGI BUYUNI ILALA, DAR ES SALAAM
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-TAY0tFuNku8/VfLkbDTJlRI/AAAAAAAAZNg/QRxYl-YuUMA/s72-c/PPF_ALBINO2.jpg)
PPF YATOA MSAADA KWA WATOTO WENYE ULEMAVU WA NGOZI, SHULE YA MSINGI YA JESHI LA WOKOVU JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-TAY0tFuNku8/VfLkbDTJlRI/AAAAAAAAZNg/QRxYl-YuUMA/s640/PPF_ALBINO2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yZ-qbTWMN4M/XvB6veGemlI/AAAAAAALu5M/qJxtOsimPD8PLmaw8W0ltBCMKCJOMC4CwCLcBGAsYHQ/s72-c/800x800_5304470ddd432.jpg)
TAARIFA YA KUUNGANA KWA BENKI YA NIC TANZANIA NA BENKI YA COMMECIAL BANK OF AFRICA TANZANIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-yZ-qbTWMN4M/XvB6veGemlI/AAAAAAALu5M/qJxtOsimPD8PLmaw8W0ltBCMKCJOMC4CwCLcBGAsYHQ/s200/800x800_5304470ddd432.jpg)
Kibali cha kuungana kutoka kwa mamlaka husika tayari vimeshapokelewa
Benki ya NIC Bank Tanzania Limited (NIC) na benki ya Commercial Bank of Africa (Tanzania) Limited (CBA) imeshapokea vibali vyote kuungana na kuanza kutoa huduma kuanzia tarehe 8 mwezi Julai mwaka 2020 kama benki ya NCBA Bank Tanzania Limited.
Uunganaji utafanyika kwa...
10 years ago
MichuziKampuni ya maji ya Kisima AQUA COOL LTD yatoa msaada wa nguo za kujikinga na mvua kwa wafanyabiashara wadogo wadogo jijini dar
KUTOKANA na mvua kubwa zilizonyesha karibu maeneo yote ya nchi na kuleta maafa hususan katika jijin la Dar es Salaam Kampuni ya Aqua Cool Ltd Watengenezaji wa maji safi ya Kisima Pure Drinking Water imetoa msaada wa mavazi ya kujikinga na mvua ya mpira (ponchos) kwa wakazi wa wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam.
Msaada huo ulitolewa na uongozi na wafanyakazi wa kampuni hiyo kwa makundi mbalimbali kama watembea kwa miguu, mama lishe , waendesha bodaboda na...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-DTReLqYMeos/VajaqK-iGRI/AAAAAAAC8ms/TeNvhn6H6Ok/s72-c/EXIM%2BFOUR.jpg)
BENKI YA EXIM TANZANIA YAANDAA TENA FUTARI KWA AJILI YA WATEJA WAKE JIJINI DAR ES SALAAM.
![](http://1.bp.blogspot.com/-DTReLqYMeos/VajaqK-iGRI/AAAAAAAC8ms/TeNvhn6H6Ok/s640/EXIM%2BFOUR.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-NqttUpl_Wt4/VajaoKIiGDI/AAAAAAAC8mc/JVHpfE8bnQI/s640/EXIM%2BONE.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-vlOuxKpBXWk/VajaoyO_CUI/AAAAAAAC8mk/a9HEPO27fvQ/s640/EXIM%2BTHREE.jpg)