Chile kuchuana na Uhispania
Mabingwa watetezi Uhispania wanatafuta ushindi dhidi ya Chile baada ya kushindwa na Uholanzi katika kombe la dunia Brazil.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili24 Jun
Brazil kuchuana na Chile raundi ya pili
Brazil iliifunga cameroon 4-1 na kuiongoza kundi A ambapo sasa itachuana na Chile.
11 years ago
CloudsFM24 Jun
BAADA YA KUIBAMIZA CAMEROON, BRAZIL KUCHUANA NA CHILE JUMAMOSI #Brazuka
Baada ya jana kuibamiza timu ya Cameroon kwenye michuano ya kombe la dunia, timu ya Brazili ili kwenda mbele zaidi katika hatua ya robo fainali kunategemea na mechi yao dhidi ya Chile, mechi hiyo itachezewa jijini Belo Horizonte siku ya Jumamosi wakiwa na imani mpya ya kunyakua taji hilo.
11 years ago
BBCSwahili13 Jun
Uhispania inakabiliana na Uholanzi
Mabingwa watetezi Uhispania wamakabiliana na Uholanzi katika marudio ya fainali ya kombe la dunia la 2010.
11 years ago
BBCSwahili24 Jun
Uhispania yaaga Brazil2014
Uhispania imeyaaga mashindano ya Brazil2014 kwa ushindi wa 3-0 dhidi ya Australia
9 years ago
BBCSwahili27 Sep
Je Catalonia itajitenga na Uhispania ?
Zaidi ya watu milioni tano wamejiandikisha kupiga kura huko Catolinia Uhispania katika uchaguzi unaotarajiwa kuwa mtihani wa umoja
10 years ago
BBCSwahili07 May
11 years ago
BBCSwahili08 Feb
Mwanamfalme mahakamani Uhispania
Mwana mfalme Cristina ,mtoto wa mwisho wa kike wa mfalme Juan Carlos anatarajiwa kuhojiwa kuhusiana na kashfa ya ufisadi
10 years ago
Vijimambo16 Jul
Umri wa kuolewa Uhispania ni miaka 16
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/06/13/150613175620_sp_swedish_royal_wedding_640x360_afp_nocredit.jpg)
Harusi uhispania
Uhispania imepandisha umri unaoruhusiwa kwa wasichana kuolewa hadi kumi na sita.Hadi sasa wasichana nchini humo wangeruhusiwa kuolewa wakiwa na miaka kumi na nne bora tu wapate ruhusa ya jaji.
Sheria hiyo mpya sasa inanuiwa kupunguza visa vya udhalilishaji wa watoto nchini humo.
11 years ago
BBCSwahili27 Mar
Uhispania na Barca kumkosa Valdez
Mlinda mlango wa Barcelona na Uhispania Victor Valdes hatashiriki Kombe la dunia baada ya kujeruhiwa goti
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania