Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uhispania inakabiliana na Uholanzi

Mabingwa watetezi Uhispania wamakabiliana na Uholanzi katika marudio ya fainali ya kombe la dunia la 2010.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Uholanzi yaifunza Uhispania soka

Uholanzi iliiadhibu vikali mabingwa wa dunia, Uhispania walipowalaza mabao 5-1

 

11 years ago

Bongo5

Uholanzi yailaza Brazil 3-0,Uholanzi yashika nafasi ya 3 kombe la dunia

Timu ya taifa ya Uholanzi imeibamiza Brazil 3-0 na kutwaa nafasi ya tatu katika kombe la dunia huko Brazil. Mashabiki wa Brazil waliwazomea wachezaji wao akiwemo kocha Luiz felipe Scolari kwa utendakazi duni katika mechi hizi mbili za mwisho ambazo Brazil imefungwa mabao 10 nayo ikifunga moja. Brazil ilifungua mechi hiyo kwa kasi lakini ikafungwa […]

 

11 years ago

BBCSwahili

Uhispania yaaga Brazil2014

Uhispania imeyaaga mashindano ya Brazil2014 kwa ushindi wa 3-0 dhidi ya Australia

 

9 years ago

BBCSwahili

Je Catalonia itajitenga na Uhispania ?

Zaidi ya watu milioni tano wamejiandikisha kupiga kura huko Catolinia Uhispania katika uchaguzi unaotarajiwa kuwa mtihani wa umoja

 

11 years ago

BBCSwahili

Chile kuchuana na Uhispania

Mabingwa watetezi Uhispania wanatafuta ushindi dhidi ya Chile baada ya kushindwa na Uholanzi katika kombe la dunia Brazil.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ligi ya Uhispania yaahirishwa

Ligi kuu ya Uhispania La Liga imepigwa marufuku.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mwanamfalme mahakamani Uhispania

Mwana mfalme Cristina ,mtoto wa mwisho wa kike wa mfalme Juan Carlos anatarajiwa kuhojiwa kuhusiana na kashfa ya ufisadi

 

10 years ago

BBCSwahili

Umri wa kuolewa Uhispania ni miaka 16

Uhispania imepandisha umri unaoruhusiwa kwa wasichana kuolewa hadi kumi na sita.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mwanawe mfalme mahakani uhispania

Mwanawe wa mwisho mfalme Juan Carlos wa Uhispania amefikishwa mahakamani kwa madai ya kukwepa kulipa ushuru na ulaji rushwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani