Uholanzi yaifunza Uhispania soka
Uholanzi iliiadhibu vikali mabingwa wa dunia, Uhispania walipowalaza mabao 5-1
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili13 Jun
Uhispania inakabiliana na Uholanzi
Mabingwa watetezi Uhispania wamakabiliana na Uholanzi katika marudio ya fainali ya kombe la dunia la 2010.
11 years ago
BBCSwahili19 Feb
PSG yaifunza soka Leverkusen
Paris St-Germain iliilaza Bayer Leverkusen 4-0 katika mchuano wa ligi ya mabingwa barani Ulaya
11 years ago
Mwananchi13 Oct
Stars yaifunza soka Benin
Vijana wa Taifa Stars wamemshusha pumzi kocha wa timu hiyo, Mart Nooij baada ya kuichapa Benin mabao 4-1 katika mechi ya kirafiki ya kimataifa iliyochezwa kwenye Uwanja wa Taifa jana.
10 years ago
Dewji Blog04 Apr
Gwiji la soka la timu ya taifa ya Uholanzi na vilabu vya Ajax na Barcelona awasili ncjhini na kuelekea Serengeti
Mratibu wa ziara ya wachezaji wa zamani wa klabu ya Barcelona nchini ,Royco Garcia ,(kulia) akiwa na mdau wa soka wa mkoa wa Kilimanjaro na Mwenyekiti wa chama cha soka wilaya ya Hai,Harold Kifunda wakati wa mapokezi ya gwiji wa soka wa timu ya taifa ya Uholanzi na vilabu vya Ajax na Barcelona.
11 years ago
Bongo513 Jul
Uholanzi yailaza Brazil 3-0,Uholanzi yashika nafasi ya 3 kombe la dunia
Timu ya taifa ya Uholanzi imeibamiza Brazil 3-0 na kutwaa nafasi ya tatu katika kombe la dunia huko Brazil. Mashabiki wa Brazil waliwazomea wachezaji wao akiwemo kocha Luiz felipe Scolari kwa utendakazi duni katika mechi hizi mbili za mwisho ambazo Brazil imefungwa mabao 10 nayo ikifunga moja. Brazil ilifungua mechi hiyo kwa kasi lakini ikafungwa […]
10 years ago
BBCSwahili07 May
11 years ago
BBCSwahili24 Jun
Uhispania yaaga Brazil2014
Uhispania imeyaaga mashindano ya Brazil2014 kwa ushindi wa 3-0 dhidi ya Australia
11 years ago
BBCSwahili18 Jun
Chile kuchuana na Uhispania
Mabingwa watetezi Uhispania wanatafuta ushindi dhidi ya Chile baada ya kushindwa na Uholanzi katika kombe la dunia Brazil.
11 years ago
BBCSwahili08 Feb
Mwanamfalme mahakamani Uhispania
Mwana mfalme Cristina ,mtoto wa mwisho wa kike wa mfalme Juan Carlos anatarajiwa kuhojiwa kuhusiana na kashfa ya ufisadi
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
08-May-2025 in Tanzania