Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Gwiji la soka la timu ya taifa ya Uholanzi na vilabu vya Ajax na Barcelona awasili ncjhini na kuelekea Serengeti

E86A4211

 

Mratibu wa ziara ya wachezaji wa zamani wa klabu ya Barcelona nchini ,Royco Garcia ,(kulia) akiwa na mdau wa soka wa mkoa wa Kilimanjaro na Mwenyekiti wa chama cha soka wilaya ya Hai,Harold Kifunda wakati wa mapokezi ya gwiji wa soka wa timu ya taifa ya Uholanzi na vilabu vya Ajax na Barcelona.

Dixon Busagaga wa Busagaga’s Orijino Blog akizungumza jambo na mratibu wa ziara ya wachezaji wa zamani wa klabu ya Barcelona nchini ,Royco Garcia ,uwanja wa ndege wa Kimatifa wa Kilimanjaro ...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Timu ya soka la ukweni kuelekea Misri

Timu ya Taifa ya Tanzania ya soka la ufukweni inatarajiwa kuondoka , kuelekea jijini Cairo nchini Misri.

 

10 years ago

Michuzi

TASWIRAZZ MBALIMBALI ZA MTANANGE WA MAVETERAN WA SOKA WA BARCELONA NA TANZANIA ULIOPIGWA UWANJA WA TAIFA

Wachezaji wa zamani wa timu ya Barcelona ya Hispania wakiongozwa na Patrick Kluivert (aliebeba mtoto) wakiingia uwanjani tayari kwa kukipiga na timu ya Tanzania Veterans katika mchezo wa kirafiki uliopigwa kwenye uwanja wa Taifa, Jijini Dar es salaam. hadi mwisho wa mchezo, Barcelona ya Hispania ilishinda bao 2-1.PICHA ZOTE NA OTHMAN MICHUZIMchezaji wa zamani wa timu ya Barcelona ya Hispania, Patrick Kluivert akifurahia jambo na Mtoto mwenye Ualbino kabla ya kuanza kwa mchezo wao wa kirafiki...

 

9 years ago

Dewji Blog

Baada ya kutojumuishwa katika timu ya taifa ya Uholanzi, Van Gal naye amtoa kikosini Depay kwenye mchezo wa UEFA

Winga wa Manchester United, Memphis Depay

Winga wa Manchester United, Memphis Depay.

Kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal

Kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal.

Na Rabi Hume

Winga wa klabu ya Manchester United, Mholanzi Memphis Depay amekuwa na wakati mgumu katika kipindi hiki cha karibuni kutokana na kudaiwa kushuka kiwango jambo lililomfanya kocha wake Louis Van Gaal kuwa akimweka benchi na nafasi yake ikichukuliwa na kijana mwenzake, Mfaransa Antony Martial.

Kama hilo halitoshi jana nchini Uholanzi yametangazwa majina ya wachezaji ambao wataingia kambini kwa...

 

9 years ago

Michuzi

Timu ya Taifa ya wanawake ya Mchezo wa Mpira wa Magongo yakabidhiwa bendera kabla ya kuelekea Afrika ya kusini baada ya

 Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Maendeleo ya Michezo, Wizara ya Habari, Vijana , Utamaduni na Michezo Bi Juliana Yassoda akimkabidhi bendera Nahodha wa Timu ya Taifa ya wanawake ya  Mchezo wa Mpira wa Magongo  Bi Kidawa Abdallah katika hafla ya kuwaaga  wachezaji hao wanaoelekea nchini Afrika Kusini kwenye mashindano ya  mchezo huo yanayotarajiwa kuanza hivi karibuni. Wa kwanza kulia ni Afisa Mkuu wa Fedha kutoka Benki ya NMB Bw. Waziri BarnabasAfisa Mkuu wa Fedha kutoka Benki ya NMB Bw....

 

9 years ago

Michuzi

Timu ya Taifa ya wanawake Twiga stars yaondoka kuelekea Congo Brazaville kwenye mashindano ya Afrika (All African Games)

 Afisa Michezo Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bw. Gordon Nsajigwa akimpatia mmoja wa wachezaji wa Timu ya Taifa ya mpira wa miguu ya wanawake tiketi  jana jioni tayari kwa safari ya kuelekea Congo Brazaville kwenye mashindano ya Afrika (All African Games), kushoto aliyevaa suti ni Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Michezo Bw. Leonard Thadeo.  Wachezaji wa Timu ya Taifa wakipanda ndege ya Shirikia la Ndege la Tanzania (Air Tanzania) jana jioni  tayari kwa kuanza safari ya...

 

9 years ago

BBCSwahili

Barcelona fainali Kombe la dunia la Vilabu

Mshambuliaji Luis Suarez ameipeleka timu yake ya Barcelona, katika hatua ya fainali ya kombe la dunia la vilabu.

 

10 years ago

Vijimambo

UTITILI WA WACHEZAJI WA KIGENI KUTAICHIMBIA KABURI SOKA YA TANZANIA NA KUUWA TIMU YA TAIFA KAMA ILIVYO UINGEREZA


Simon Sserunkuma By GIFT MACHA Wa Mwanaspoti.Mshambuliaji huyo raia wa Uganda alikuja nchini na timu ya Express ya nchini humo na kucheza mechi mbili za kirafiki dhidi ya Simba na Yanga na ndipo viongozi hao wa Yanga walipomwona na kumleta nchini ili kufanya naye mazungumzo lakini mambo yakawa tofauti kwani alitoroshwa kimya kimya na kupelekwa Zanzibar ambako Simba iliweka kambi kujiandaa na mechi ya Nani Mtani Jembe iliyochezwa juzi Jumamosi.ACHANA na Yanga kufungwa mabao 2-0 na Simba...

 

11 years ago

BBCSwahili

Familia ya soka yampoteza gwiji Eusebio

Gwiji wa soka kutoka taifa la Ureno,Eusebio amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 71.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani