Timu ya soka la ukweni kuelekea Misri
Timu ya Taifa ya Tanzania ya soka la ufukweni inatarajiwa kuondoka , kuelekea jijini Cairo nchini Misri.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog04 Apr
Gwiji la soka la timu ya taifa ya Uholanzi na vilabu vya Ajax na Barcelona awasili ncjhini na kuelekea Serengeti
Mratibu wa ziara ya wachezaji wa zamani wa klabu ya Barcelona nchini ,Royco Garcia ,(kulia) akiwa na mdau wa soka wa mkoa wa Kilimanjaro na Mwenyekiti wa chama cha soka wilaya ya Hai,Harold Kifunda wakati wa mapokezi ya gwiji wa soka wa timu ya taifa ya Uholanzi na vilabu vya Ajax na Barcelona.
9 years ago
BBCSwahili07 Nov
Urusi yasitisha safari za ndege kuelekea Misri
Urusi imesitisha safari zake zote za ndege kuelekea Misri - huku Marekani ikiimarisha usalama wake katika ndege zote zinazoelekea Misri.
10 years ago
BBCSwahili11 Mar
Soka Ufukweni:Tanzania, Misri kupmbana
Timu ya Taifa ya Tanzania ya soka la ufukweni (Beach Soccer) inatarajiwa kucheza na timu ya Taifa ya Misri siku ya ijumaa
10 years ago
BBCSwahili08 Oct
Elmohamady ajiondoa katika timu ya Misri
Mchezaji wa timu ya Hull City nchini Uingereza amejiondoa katika kikosi cha Misri kitakachokabiliana na timu ya Botswana.
11 years ago
Mwananchi23 Jun
Soka ni daraja la kuelekea maisha mazuri
“Natumai ungekuwapo Zambia ungeona jinsi watu walivyokuwa wakishangilia kama wendawazimu, furaha ilipitiliza, watu wengine walipoteza maisha, watu hawakulala kwa siku kadhaa, jezi na alama mbalimbali za Zambia zilitawala, ilikuwa ni furaha kila mahali kuanzia sehemu za starehe, mitaani kwenye maofisi, sehemu za biashara majumbani,â€
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/FIFA-World-Cup-2014-Brazil.jpg)
ZIMEBAKI SIKU 100 ZA DUNIA YOTE YA SOKA KUELEKEA BRAZIL
Ni siku 100 tu, ni vigumu kuamini kuwa iko karibu. Inaonekana kama jana tu kwamba Brazil imethibitishwa kuwa muandaaji wa FIFA World Cup 2014. Nakumbuka msisimko niliohisi na kuona kuwa nchi yangu inaenda kwenye hatua muhimu ya mpira katika Dunia hii. Hata ingawa mimi sitakuwa uwanjani, lakini nimeanza kupata vipepeo tumboni kama ambavyo nilikuwa nikikaribia mechi kubwa. Baada ya yote kumalizika FIFA World Cup, itakuwa ni ya...
10 years ago
MichuziTIMU YA HARAKATI YA IMETOSHA KUELEKEA KANDA YA ZIWA KUTOA SOMO
Balozi Henry Mdimu akiongea na vyombo vya habari
Taasisi isiyo ya ki serikali ya Imetosha Foundation inayopinga unyanyapaa, ukatili na mauaji dhidi ya watu wenye ualbino kwa njia ya elimu, inatarajia kutuma ujumbe mzito kanda ya ziwa hapo kesho kwa maandalizi ya ujio wa timu nzima ya taasisi hiyo iliyojikita kwenye kubadilisha mtazamo (mind set) wa watu juu ya janga hili. Ujumbe huo utaongozwa na mwenyekiti wa taasisi hiyo Bw Masoud Kipanya, Balozi Henry Mdimu Mgaya na katibu Salome...
11 years ago
BBCSwahili13 Jun
Timu ya soka ya Kenya kwenda Brazil
Sio kushiriki mechi yoyote bali kutazama michuano ya kombe la dunia. Ni zawadi waliyopokea kutoka kwa Rais Uhuru Kenyatta
10 years ago
Vijimambo28 Sep
TIMU YA OFISI YA MAKAMU WA RAIS YAAGWA LEO KUELEKEA MOROGORO KATIKA MICHEZO YA SHIMIWI
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-rwOc8uLGTzk%2FVCcTrYxUbAI%2FAAAAAAACQlw%2F0OicU4r3rr0%2Fs1600%2F05.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F2.bp.blogspot.com%2F-qmzO6W0mF0U%2FVCcXIhapz-I%2FAAAAAAACQl8%2FFF3AIhnmXh8%2Fs1600%2F04.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-zcPEDbxCceI%2FVCcXa02mDJI%2FAAAAAAACQmM%2FPpvQPSpigLM%2Fs1600%2F02.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania