Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Urusi yasitisha safari za ndege kuelekea Misri

Urusi imesitisha safari zake zote za ndege kuelekea Misri - huku Marekani ikiimarisha usalama wake katika ndege zote zinazoelekea Misri.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Ebola: Ndege ya Arik yasitisha safari

Shirika la ndege la ARIK Air limesitisha safari za ndegekuingia Liberia na Sierra Leone kufuatia kuenea kwa ugonjwa wa Ebola.

 

9 years ago

BBCSwahili

Urusi: Ndege iliyoanguka Misri ililipuliwa

Urusi imethibitisha kuwa ndege ya Metrojet iliyoanguka na kuua watu 224 nchini Misri mwezi uliopita likuwashambulizi la kigaidi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Ndege za Misri zapigwa marufuku Urusi

Mamlaka ya safari za ndege nchini Urusi imepiga marufuku ndege za shirika la taifa la ndege la Misri kuhudumu Urusi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Misri: Hakuna ushahidi ndege ya Urusi ilidunguliwa

Misri imesema kuwa haijapata ushahidi wowote kuwa ndege ya Urusi iliyoanguka katika rasi ya Sinai na kuua watu 224 ililipuliwa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Urusi:Ndege iliyoanguka Misri ilivunjikia angani

Mtaalamu mmoja wa Usalama wa safari za ndege kutoka Urusi amesema ndege iliyoanguka Misri ilivunjika ikiwa angani

 

9 years ago

BBCSwahili

Urusi na Misri zakerwa na madai kuhusu ndege

Urusi na Misri zimekosoa taarifa zilizotolewa na baadhi ya mataifa kwamba ndege ya Urusi iliyoanguka Sinai na kuua abiria 224 huenda ililipuliwa kwa bomu.

 

9 years ago

GPL

MABAKI YA NDEGE YA URUSI BAADA YA KUANGUKA SINAI, MISRI

Wachunguzi wakiwa eneo la tukio wakiangalia mabaki ya Ndege ya Shirika la Kogalymavia la Urusi, Airbus A-321 iliyoanguka eneo la Sinai nchini Misri ilikuwa na abiria 200, watoto 17 na wafanyakazi wa ndege hiyo 7.…

 

9 years ago

GPL

NDEGE YA URUSI YENYE ABIRIA 200 YAANGUKA SINAI, MISRI

Ndege ya Shirika la Kogalymavia la Urusi, Airbus A-321 iliyoanguka eneo la Sinai nchini Misri. Waziri Mkuu wa Misri, Sharif Ismail akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani). Ramani ikionyesha eneo la Sinai nchini Misri ilipotokea ajali hiyo.…

 

11 years ago

BBCSwahili

Urusi yasitisha huduma ya gesi kwa Ukraine

Kampuni ya Urusi Gazprom imesitisha usambazaji wake wa gesi kwa Ukraine baada ya siku ya mwisho ya Ukraine kulipa deni lake la dola billioni 2 kukamilika.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani