Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Urusi:Ndege iliyoanguka Misri ilivunjikia angani

Mtaalamu mmoja wa Usalama wa safari za ndege kutoka Urusi amesema ndege iliyoanguka Misri ilivunjika ikiwa angani

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Urusi: Ndege iliyoanguka Misri ililipuliwa

Urusi imethibitisha kuwa ndege ya Metrojet iliyoanguka na kuua watu 224 nchini Misri mwezi uliopita likuwashambulizi la kigaidi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Ndege za Misri zapigwa marufuku Urusi

Mamlaka ya safari za ndege nchini Urusi imepiga marufuku ndege za shirika la taifa la ndege la Misri kuhudumu Urusi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Urusi yasitisha safari za ndege kuelekea Misri

Urusi imesitisha safari zake zote za ndege kuelekea Misri - huku Marekani ikiimarisha usalama wake katika ndege zote zinazoelekea Misri.

 

9 years ago

BBCSwahili

Urusi na Misri zakerwa na madai kuhusu ndege

Urusi na Misri zimekosoa taarifa zilizotolewa na baadhi ya mataifa kwamba ndege ya Urusi iliyoanguka Sinai na kuua abiria 224 huenda ililipuliwa kwa bomu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Misri: Hakuna ushahidi ndege ya Urusi ilidunguliwa

Misri imesema kuwa haijapata ushahidi wowote kuwa ndege ya Urusi iliyoanguka katika rasi ya Sinai na kuua watu 224 ililipuliwa.

 

9 years ago

GPL

MABAKI YA NDEGE YA URUSI BAADA YA KUANGUKA SINAI, MISRI

Wachunguzi wakiwa eneo la tukio wakiangalia mabaki ya Ndege ya Shirika la Kogalymavia la Urusi, Airbus A-321 iliyoanguka eneo la Sinai nchini Misri ilikuwa na abiria 200, watoto 17 na wafanyakazi wa ndege hiyo 7.…

 

9 years ago

GPL

NDEGE YA URUSI YENYE ABIRIA 200 YAANGUKA SINAI, MISRI

Ndege ya Shirika la Kogalymavia la Urusi, Airbus A-321 iliyoanguka eneo la Sinai nchini Misri. Waziri Mkuu wa Misri, Sharif Ismail akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani). Ramani ikionyesha eneo la Sinai nchini Misri ilipotokea ajali hiyo.…

 

5 years ago

BBCSwahili

Manusura wa ndege ya Pakistan iliyoanguka amesema alichokiona ni 'moto tu'

Karibia watu 97 wamekufa baada ya ndege kuanguka juu ya makazi ya watu

 

11 years ago

CloudsFM

TAARIFA MPYA JUU YA NDEGE NYINGINE YA MALAYSIA ILIYOANGUKA UKRAINE.

Ndege ya Malaysia iliyokuwa imebeba abiria 295 ndani yake imeanguka Mashariki mwa Ukraine ikitokea Amsterdam kwenda Kuala Lumpur, kufuatia tuhuma kuwa ilitunguliwa.Miili kadhaa ya watu imesambaa katika eneo ilipoanguka ndege hiyo karibu na kijiji cha Grabovo, kinachodaiwa kushikiliwa na waasi.Ndege hiyo ya MH17 ilikuwa inakaribia kuingia katika ardhi ya Urusi wakati ilipopoteza mawasiliano.Pande zote mbili serikali ya Ukraine na waasi wamekanusha kuitungua ndege hiyo katika mji ulio karibu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani