Urusi na Misri zakerwa na madai kuhusu ndege
Urusi na Misri zimekosoa taarifa zilizotolewa na baadhi ya mataifa kwamba ndege ya Urusi iliyoanguka Sinai na kuua abiria 224 huenda ililipuliwa kwa bomu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili13 Nov
Ndege za Misri zapigwa marufuku Urusi
Mamlaka ya safari za ndege nchini Urusi imepiga marufuku ndege za shirika la taifa la ndege la Misri kuhudumu Urusi.
9 years ago
BBCSwahili17 Nov
Urusi: Ndege iliyoanguka Misri ililipuliwa
Urusi imethibitisha kuwa ndege ya Metrojet iliyoanguka na kuua watu 224 nchini Misri mwezi uliopita likuwashambulizi la kigaidi.
9 years ago
BBCSwahili14 Dec
Misri: Hakuna ushahidi ndege ya Urusi ilidunguliwa
Misri imesema kuwa haijapata ushahidi wowote kuwa ndege ya Urusi iliyoanguka katika rasi ya Sinai na kuua watu 224 ililipuliwa.
9 years ago
BBCSwahili07 Nov
Urusi yasitisha safari za ndege kuelekea Misri
Urusi imesitisha safari zake zote za ndege kuelekea Misri - huku Marekani ikiimarisha usalama wake katika ndege zote zinazoelekea Misri.
9 years ago
BBCSwahili01 Nov
Urusi:Ndege iliyoanguka Misri ilivunjikia angani
Mtaalamu mmoja wa Usalama wa safari za ndege kutoka Urusi amesema ndege iliyoanguka Misri ilivunjika ikiwa angani
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SJHyuKr55TMbWixAAR2Spu72aQMrl*gjKa*5-tAx4TVcilXE4TxTqU32CD7yLCEa6RYKqTpA-r5cAhOFch7SGW5IpDKYyMOZ/2DFC0BC0000005783297871imagea61_1446317205024.jpg?width=650)
MABAKI YA NDEGE YA URUSI BAADA YA KUANGUKA SINAI, MISRI
Wachunguzi wakiwa eneo la tukio wakiangalia mabaki ya Ndege ya Shirika la Kogalymavia la Urusi, Airbus A-321 iliyoanguka eneo la Sinai nchini Misri ilikuwa na abiria 200, watoto 17 na wafanyakazi wa ndege hiyo 7.…
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
NDEGE YA URUSI YENYE ABIRIA 200 YAANGUKA SINAI, MISRI
Ndege ya Shirika la Kogalymavia la Urusi, Airbus A-321 iliyoanguka eneo la Sinai nchini Misri. Waziri Mkuu wa Misri, Sharif Ismail akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani). Ramani ikionyesha eneo la Sinai nchini Misri ilipotokea ajali hiyo.…
9 years ago
BBCSwahili08 Nov
Urusi: Uchunguzi wa kina kuhusu ndege
Wachunguzi wa ile ndege ya Urusi iliyoanguka nchini Misri, wanasema kuwa watatumia kila mbinu ili kubaini kilichosababisha ajali hiyo
11 years ago
BBCSwahili20 Jul
Urusi matatani kuhusu kuanguka kwa ndege
Mataifa ya magharibi yaitaka urusi kuyashinikiza makundi ya wapiganaji wanaounga mkono Urusi kuhusu eneo la mkasa wa ndege
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania