Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Urusi: Uchunguzi wa kina kuhusu ndege

Wachunguzi wa ile ndege ya Urusi iliyoanguka nchini Misri, wanasema kuwa watatumia kila mbinu ili kubaini kilichosababisha ajali hiyo

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Urusi: Habari muhimu kuhusu ndege ziliharibiwa

Kifaa maalum cha kunasa sauti kwenye ndege maarufu kama Black Box, cha ndege ya kivita ya Urusi iliyodunguliwa na Uturuki kiliharibiwa, haya ni kwa mujibu wa Urusi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Urusi matatani kuhusu kuanguka kwa ndege

Mataifa ya magharibi yaitaka urusi kuyashinikiza makundi ya wapiganaji wanaounga mkono Urusi kuhusu eneo la mkasa wa ndege

 

10 years ago

BBCSwahili

Urusi na Marekani zaafikiana kuhusu ndege Syria

Urusi na Marekani zimetia saini makubaliano yanayotarajiwa kuzuia kushambuliana kwa ndege za kijeshi za nchi hizo nchini Syria.

 

9 years ago

BBCSwahili

Urusi na Misri zakerwa na madai kuhusu ndege

Urusi na Misri zimekosoa taarifa zilizotolewa na baadhi ya mataifa kwamba ndege ya Urusi iliyoanguka Sinai na kuua abiria 224 huenda ililipuliwa kwa bomu.

 

10 years ago

BBCSwahili

MH370:Uchunguzi wa kina waanza Ufaransa

Watalamu kutoka Ufaransa, Malaysia na Australia wameanza kuchunguza mabaki ya bawa la ndege kubaini uhusiano na ile iliyotoweka ya MH370

 

10 years ago

Habarileo

UVCCM yataka uchunguzi wa kina uchaguzi uliofutwa

UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) umeitaka Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kuunda tume huru kuchunguza kwa kina suala la uchaguzi uliofutwa. Kadhalika umetaka tume hiyo ichunguze uendeshwaji wa zabuni ya karatasi za kupigia kura ulivyofanyika hadi kupatikana mzabuni na taarifa yake itolewe kwa umma.

 

10 years ago

CloudsFM

KIFO CHA AISHA MADINDA KINA UTATA,MAZISHI YAAHIRISHWA KUPISHA UCHUNGUZI

Mazishi ya aliyekuwa mnenguaji wa bendi za Twanga Pepeta na Extra Bongo,Aisha Madinda yameahirishwa hadi majibu ya uchunguzi yatakapofanyika na kutolewa na hospitali ya taifa ya Muhimbili, ilidaiwa Aisha Madinda aliyefariki jana mchana wakati akikimbizwa hospitalini, na kwa mujibu wa hospitali ya Mwananyamala mpaka anafikishwa hospitali na waliupima mwili na kugundua alikwisha fariki dunia. Clouds FM imezungumza na mtoto wa kwanza wa marehem aitwaye, Feisal Madinda alisema kuwa mazishi...

 

10 years ago

Michuzi

Maalim Seif alitaka Jeshi la Polisi kufanya uchunguzi wa kina kujua waliochoma moto ofisi ya CUF jimbo la Dimani

Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi CUF, Maalim Seif Sharif Hamad amelitaka Jeshi la Polisi kufanya uchunguzi wa kina kuwajua watu waliohusika kuchoma moto ofisi za chama hicho jimbo la Dimani na baadaye wafikishwe mbele ya mkono wa sheria.
Maalim Seif amesema hayo wakati alipotembelea ofisi hizo zilizoteketezwa kabisa kwa moto, tukio lililofanywa na watu wasiojuilikana juzi usiku, huko katika eneo la Kisauni Wilaya ya Magharibi Unguja.
Katibu Mkuu wa CUF amesema tukio hilo ni la kusikitisha...

 

9 years ago

Mwananchi

Kizungumkuti uchunguzi ndege ya kulipuliwa

Maofisa wa upelelezi wa ajali za ndege kutoka Misri wamesema hawajapata ushahidi wa kulipuliwa kwa ndege ya Urusi iliyoanguka katika rasi ya Sinai na kuua watu 224 nchini Syria.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani