Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Urusi matatani kuhusu kuanguka kwa ndege

Mataifa ya magharibi yaitaka urusi kuyashinikiza makundi ya wapiganaji wanaounga mkono Urusi kuhusu eneo la mkasa wa ndege

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

MABAKI YA NDEGE YA URUSI BAADA YA KUANGUKA SINAI, MISRI

Wachunguzi wakiwa eneo la tukio wakiangalia mabaki ya Ndege ya Shirika la Kogalymavia la Urusi, Airbus A-321 iliyoanguka eneo la Sinai nchini Misri ilikuwa na abiria 200, watoto 17 na wafanyakazi wa ndege hiyo 7.…

 

9 years ago

BBCSwahili

Urusi: Uchunguzi wa kina kuhusu ndege

Wachunguzi wa ile ndege ya Urusi iliyoanguka nchini Misri, wanasema kuwa watatumia kila mbinu ili kubaini kilichosababisha ajali hiyo

 

9 years ago

BBCSwahili

Urusi na Marekani zaafikiana kuhusu ndege Syria

Urusi na Marekani zimetia saini makubaliano yanayotarajiwa kuzuia kushambuliana kwa ndege za kijeshi za nchi hizo nchini Syria.

 

9 years ago

BBCSwahili

Urusi na Misri zakerwa na madai kuhusu ndege

Urusi na Misri zimekosoa taarifa zilizotolewa na baadhi ya mataifa kwamba ndege ya Urusi iliyoanguka Sinai na kuua abiria 224 huenda ililipuliwa kwa bomu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Urusi: Habari muhimu kuhusu ndege ziliharibiwa

Kifaa maalum cha kunasa sauti kwenye ndege maarufu kama Black Box, cha ndege ya kivita ya Urusi iliyodunguliwa na Uturuki kiliharibiwa, haya ni kwa mujibu wa Urusi.

 

9 years ago

GPL

WATENGENEZA MAKOMBORA WA RUSSIA WAPINGA RIPOTI YA KUANGUKA KWA NDEGE

SHIRIKA la kutengeneza makombora la serikali nchini Russia limesema uchunguzi wake wa mwaka jana kuhusu kuanguka kwa ndege ya abiria ya Malyasia yenye usajili wa namba MH17 katika eneo linaloshikiliwa na waasi mashariki mwa Ukraine, unapingana na ripoti iliyotolewa na kikundi cha uchunguzi cha Uholanzi. Matokeo ya uchunguzi huo ya Uholanzi yatatolewa leo. Yan Novikov, kiongozi wa shirika hilo la Russia liitwalo Almaz-Antey,...

 

11 years ago

BBCSwahili

Uchumi wa Urusi Matatani-IMF

IMF yasema kiwango cha ukuaji wa uchumi wa Urusikimeshuka sana kufuatia vikwazo vya Marekani na muungano wa Ulaya.

 

11 years ago

Mwananchi

Miili zaidi ya 100 yaokotwa baada ya ndege ya Malaysia kuanguka Ukraine

Mabaki ya miili zaidi ya 100 yameokotwa jirani na eneo ilipoanguka ndege ya Malaysian Airlines kule Grabovo jirani na mpaka wa Ukraine na Urusi leo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani