Miili zaidi ya 100 yaokotwa baada ya ndege ya Malaysia kuanguka Ukraine
Mabaki ya miili zaidi ya 100 yameokotwa jirani na eneo ilipoanguka ndege ya Malaysian Airlines kule Grabovo jirani na mpaka wa Ukraine na Urusi leo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
MIILI YA NDEGE YA MALAYSIA YASAFIRISHWA
11 years ago
BBCSwahili17 Jul
Ndege ya Malaysia yaua 295 Ukraine
11 years ago
GPL
SIKU YA KUMI NA MOJA BAADA YA NDEGE KUPOTEA: NDUGU WA ABIRIA WA NDEGE YA MALAYSIA ILIYOPOTEA WAISHUTUMU SERIKALI
11 years ago
CloudsFM18 Jul
TAARIFA MPYA JUU YA NDEGE NYINGINE YA MALAYSIA ILIYOANGUKA UKRAINE.
Ndege ya Malaysia iliyokuwa imebeba abiria 295 ndani yake imeanguka Mashariki mwa Ukraine ikitokea Amsterdam kwenda Kuala Lumpur, kufuatia tuhuma kuwa ilitunguliwa.
Miili kadhaa ya watu imesambaa katika eneo ilipoanguka ndege hiyo karibu na kijiji cha Grabovo, kinachodaiwa kushikiliwa na waasi.Ndege hiyo ya MH17 ilikuwa inakaribia kuingia katika ardhi ya Urusi wakati ilipopoteza mawasiliano.
Pande zote mbili serikali ya Ukraine na waasi wamekanusha kuitungua ndege hiyo katika mji ulio karibu...
10 years ago
GPL
MABAKI YA NDEGE YA URUSI BAADA YA KUANGUKA SINAI, MISRI
11 years ago
GPL
SIKU YA 17 KUPOTEA NDEGE YA MALAYSIA: NDEGE YA MALAYSIA ILIRUKA CHINI YA FUTI 12,000
11 years ago
GPL
PICHA SI ZA MABAKI YA NDEGE YA MALAYSIA - MAOFISA WA MALAYSIA
5 years ago
BBCSwahili14 Jun
Maandamano Uingereza: Zaidi ya watu 100 wamekamatwa baada ya kutokea vurugu jijini London
10 years ago
Bongo512 Sep
Video: Watu zaidi ya 100 wapoteza maisha baada ya kuangukiwa na crane kwenye msitiki wa Mecca