PICHA SI ZA MABAKI YA NDEGE YA MALAYSIA - MAOFISA WA MALAYSIA
![](http://api.ning.com:80/files/hiOw4xekqhmxEpcM5NKRVYcj176nP8jC-vTe3qNFifzWYnR5EQTf7ojf7oMxlcw7TcPYwDNzLwhsgz7N*Z-WuHrnkLrGeUNq/MH3701.jpg?width=650)
Waziri wa ulinzi Hishammuddin Hussein (katikati) akikanusha madai ya ndege kukaa masaa manne hewani kabla ya kupotea.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili13 Mar
Picha sio za mabaki ya ndege ya Malaysia
Serikali ya Malaysia imesema kuwa picha za Satelite za kile kinachodhaniwa kuwa vifusi vya ndege ya Malaysia zilitolewa kimakosa na wala sio za ndege hiyo
11 years ago
BBCSwahili20 Mar
Mabaki ya ndege ya Malaysia hayajapatikana
Shughuli ya kutafuta kilichoonekana kama mabaki ya ndege ya Malaysia iliyopotea imesitishwa kutokana na upepo mkali na mvua kubwa
10 years ago
BBCSwahili30 Jul
Haya ni mabaki ya ndege ya Malaysia?
Ufaransa imesema inachunguza mabaki ya ndege yanayodaiwa kupatikana ndani ya Bahari ya Hindi kama ni ya ndege ya Malaysia ya MH370
10 years ago
Vijimambo30 Jul
MABAKI YA NDEGE YANAYOSEMEKANA NI YA NDEGE YA MALAYSIA
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/03/07/150307074359_mh370_512x288_non_nocredit.jpg)
Mamlaka ya usafirishaji nchini Ufaransa imesema inachunguza mabaki ya ndege ya yanayodaiwa kupatikana ndani ya Bahari ya Hindi yanachunguzwa ili kubaini kama ni ya ndege ya Malaysia ya MH370 iliyopotea bila kuwa na taarifa zozote kwa muda mrefusasa.
Taarifa kutoka Marekani zinasema wachunguzihao ambao wameona picha za mabaki hayo wana uhakika mkubwa kwamba ni ya ndege hiyo ya Malaysia ambapo mabaki hayo ni sehemu ya bawa la ndege.
Hata hivyo,...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/72Jod1iYAGFMwh5Ceg7BXEC662X9vMFXEnx1z9OTx*7cfJZorojLiN4FpgOdi*Lmfz-hdnOtWfQ4ZoBEkxbiQdjbhCS99Mb2/NDEGEKUPOTEA1.jpg?width=650)
SIKU YA 17 KUPOTEA NDEGE YA MALAYSIA: NDEGE YA MALAYSIA ILIRUKA CHINI YA FUTI 12,000
Naibu Waziri Mkuu wa Malaysia, Warren Truss, kulia, akizungumza na ofisa wa juu ya kikosi cha uokoaji na mratibu wa operesheni ya kuitafuta ndege iliyopotea, John Rice. Wataalamu wa Rada wakiwa wamepigwa picha ndani ya ndege ya Kijeshi ya New Zealand wakiwa katika msako wa chombo hicho kilichopotea Kusini mwa bahari ya…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/S6leBpJ8ovBLFL3dB9vXgRDziohTBtc2sA9rbvs0zsXHOenR*jKQsvIk9YjnTQ85V5HQz0d4kQXpnyIcwS9uMVNxbvj4B7UX/ndege4.jpg?width=650)
CHINA YASEMA IMEONA KITU KATIKA BAHARI YA HINDI KINACHODHANI NI MABAKI YA NDEGE ILIYOPOTEA YA MALAYSIA
Picha iliyotolewa na vyombo vya habari vya China vikionyesha kitu kipya kilichogunduliwa na satellite za nchi hiyo kikielea katika Bahari ya Hindi ambacho kinahisiwa huenda kikawa na uhusiano na ndege ya Malaysia iliyopotea. Picha za Satellite kutoka kituo cha utafiti cha Marekani kikionyesha eneo ambako msako…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ea4x8ggFHeI2e4VDElM2dCsr8OSspfIcw7pH9a-pqWjwiaC*g9BM0i41MRQ5fjDH5htMv7I3zpUPvWPbLz0nHt5zv3kde6bP/4.jpg)
MAOFISA WA MALAYSIA WAKABIDHIWA VIFAA VYA KUTUNZA KUMBUKUMBU YA NDEGE ILIYOLIPULIWA
Mwanajeshi wa wapiganaji wanaoiunga mkono Urusi akikabidhi mojawapo ya vifaa vya kutunza kumbukumbu (black boxes) vya ndege ya Malaysia MH17 iliyolipuliwa kwa maofisa wa Malaysia.
Vifaa viwili vya kutunza kumbukumbu (black boxes) vya ndege ya Malaysia vilivyokabidhiwa.…
10 years ago
BBCSwahili30 Jul
MH370:Australia na Malaysia kuchunguza mabaki
Serikali nchini Australia na Malaysia zimeelezea matumaini baada ya kupatikana kwa kipande cha mabaki ya ndege karibu na Madagascar
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-msYJ3YWtPvM/U3td2kdV3gI/AAAAAAAFj1s/tHA9dwmwKZU/s72-c/unnamed+(50).jpg)
Ubalozi wa Tanzania Malaysia wakutana na wafanyabiashara wa Malaysia (MEXPA)
![](http://3.bp.blogspot.com/-msYJ3YWtPvM/U3td2kdV3gI/AAAAAAAFj1s/tHA9dwmwKZU/s1600/unnamed+(50).jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania