Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Urusi na Marekani zaafikiana kuhusu ndege Syria

Urusi na Marekani zimetia saini makubaliano yanayotarajiwa kuzuia kushambuliana kwa ndege za kijeshi za nchi hizo nchini Syria.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Urusi yaonya kuhusu hatari ya vita Syria

Urusi imeonya kuwa kuna hatari ya kuzuka vita hatari Syria baada ya Marekani kusema itawatuma wanajeshi maalum kusaidia waasi Syria.

 

11 years ago

GPL

MAREKANI YAWASHAMBULIA WANAMGAMBO WA SYRIA KWA NDEGE

Ndege za kijeshi za Marekani zikirusha makombora kushambulia wanamgambo wa kundi la Islamic State katika mji wa Kabane, Syria. Muonekano baada ya ndege za Marekani kutupa makombora.…

 

9 years ago

BBCSwahili

Urusi: Uchunguzi wa kina kuhusu ndege

Wachunguzi wa ile ndege ya Urusi iliyoanguka nchini Misri, wanasema kuwa watatumia kila mbinu ili kubaini kilichosababisha ajali hiyo

 

9 years ago

BBCSwahili

Urusi: Habari muhimu kuhusu ndege ziliharibiwa

Kifaa maalum cha kunasa sauti kwenye ndege maarufu kama Black Box, cha ndege ya kivita ya Urusi iliyodunguliwa na Uturuki kiliharibiwa, haya ni kwa mujibu wa Urusi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Urusi matatani kuhusu kuanguka kwa ndege

Mataifa ya magharibi yaitaka urusi kuyashinikiza makundi ya wapiganaji wanaounga mkono Urusi kuhusu eneo la mkasa wa ndege

 

9 years ago

BBCSwahili

Urusi na Misri zakerwa na madai kuhusu ndege

Urusi na Misri zimekosoa taarifa zilizotolewa na baadhi ya mataifa kwamba ndege ya Urusi iliyoanguka Sinai na kuua abiria 224 huenda ililipuliwa kwa bomu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yaiomba Urusi kuhusu waangalizi

Waziri wa maswala ya kigeni nchini Marekani John Kerry aiagiza Urusi kupigania uhuru wa waangalizi wa kijeshi waliotekwanyara .

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani yaonya kuhusu mashambulio ya Urusi

Muungano unaoongozwa na Marekani kukabiliana na wapiganaji wa IS umesema mashambulio ya Urusi nchini Syria yanadhuru wanaompinga Assad.

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yaonya Urusi kuhusu vikwazo

Waziri wa mambo ya nje wa Marekani John Kerry ameitaka Urusi kupunguza ukali wa matamshi yake la sivyo iwekewe vikwazo zaidi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani