Marekani yaonya Urusi kuhusu vikwazo
Waziri wa mambo ya nje wa Marekani John Kerry ameitaka Urusi kupunguza ukali wa matamshi yake la sivyo iwekewe vikwazo zaidi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili02 Oct
Marekani yaonya kuhusu mashambulio ya Urusi
Muungano unaoongozwa na Marekani kukabiliana na wapiganaji wa IS umesema mashambulio ya Urusi nchini Syria yanadhuru wanaompinga Assad.
11 years ago
BBCSwahili17 Jul
Marekani yaiwekea Urusi vikwazo zaidi
Marekani yaiadhibu Urusi kwa vikwazo zaidi vya kiuchumi kutokana na kuhusika kwa Urusi katika mzozo wa Ukraine.
11 years ago
BBCSwahili27 Feb
Marekani yaonya Urusi kutoivamia Ukraine
Marekani imeionya serikali ya Moscow isithubutu kutumia nguvu za kijeshi dhidi ya Ukraine
9 years ago
BBCSwahili31 Oct
Urusi yaonya kuhusu hatari ya vita Syria
Urusi imeonya kuwa kuna hatari ya kuzuka vita hatari Syria baada ya Marekani kusema itawatuma wanajeshi maalum kusaidia waasi Syria.
11 years ago
BBCSwahili13 Apr
Marekani yaionya Urusi kuhusu Ukraine.
Marekani imeonyesha wasiwasi wake kuhusu kile ilichokitaja kama hatua ya Urusi kuchochea ghasia mashariki mwa Ukrain.
11 years ago
BBCSwahili27 Apr
Marekani yaiomba Urusi kuhusu waangalizi
Waziri wa maswala ya kigeni nchini Marekani John Kerry aiagiza Urusi kupigania uhuru wa waangalizi wa kijeshi waliotekwanyara .
9 years ago
BBCSwahili21 Oct
Urusi na Marekani zaafikiana kuhusu ndege Syria
Urusi na Marekani zimetia saini makubaliano yanayotarajiwa kuzuia kushambuliana kwa ndege za kijeshi za nchi hizo nchini Syria.
11 years ago
BBCSwahili25 Jul
Urusi yawekewa vikwazo
Canada imetangaza vikwazo dhidi ya Urusi kwa kile kinachodaiwa kupinga mashambulizi dhidi ya Ukraine.
11 years ago
BBCSwahili26 Apr
G7 kuiwekea Urusi vikwazo zaidi
Viongozi wa nchi zenye uwezo mkubwa duniani G7 wamekubaliana kuiwekea vikwazo zaidi Urusi kwa kuchochea ghasia Ukraine.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania