Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Marekani yaionya Urusi kuhusu Ukraine.

Marekani imeonyesha wasiwasi wake kuhusu kile ilichokitaja kama hatua ya Urusi kuchochea ghasia mashariki mwa Ukrain.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yaonya Urusi kutoivamia Ukraine

Marekani imeionya serikali ya Moscow isithubutu kutumia nguvu za kijeshi dhidi ya Ukraine

 

10 years ago

BBCSwahili

Urusi ina Majeshi Ukraine:Marekani

Marekani imeilaumu Urusi kwa kuweka mfumo kujihami na mashambulizi ya anga Mashariki mwa Ukraine

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani na Urusi wateta juu ya Ukraine

Waziri wa mambo ya nchi za nje wa Marekani John Kerry,amesema amekuwa na mazungumzo ya kirafiki kuhusiana na mzozo wa Ukraine

 

11 years ago

BBCSwahili

Obama aionya Urusi kuhusu Ukraine

Rais Barak Obama ameionya Urusi kutoingilia mgogoro wa Ukraine, hususan jimbo la Crimea

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yaonya Urusi kuhusu vikwazo

Waziri wa mambo ya nje wa Marekani John Kerry ameitaka Urusi kupunguza ukali wa matamshi yake la sivyo iwekewe vikwazo zaidi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani yaonya kuhusu mashambulio ya Urusi

Muungano unaoongozwa na Marekani kukabiliana na wapiganaji wa IS umesema mashambulio ya Urusi nchini Syria yanadhuru wanaompinga Assad.

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yaiomba Urusi kuhusu waangalizi

Waziri wa maswala ya kigeni nchini Marekani John Kerry aiagiza Urusi kupigania uhuru wa waangalizi wa kijeshi waliotekwanyara .

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani na EU njia panda kuhusu Ukraine

Marekani imejipata taabani baada ya mazungumzo ya wanadiplomasia wake wakuu kubainisha kuwa inapendelea upinzani Ukraine

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yateta kuhusu hali Ukraine

Marekani imeitaka Urusi kukoma kuvuruga hali ya mambo katika eneo la mashariki mwa Ukraine ambako majengo ya serikali yametekwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani