Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Marekani yateta kuhusu hali Ukraine

Marekani imeitaka Urusi kukoma kuvuruga hali ya mambo katika eneo la mashariki mwa Ukraine ambako majengo ya serikali yametekwa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Marekani na EU njia panda kuhusu Ukraine

Marekani imejipata taabani baada ya mazungumzo ya wanadiplomasia wake wakuu kubainisha kuwa inapendelea upinzani Ukraine

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yaionya Urusi kuhusu Ukraine.

Marekani imeonyesha wasiwasi wake kuhusu kile ilichokitaja kama hatua ya Urusi kuchochea ghasia mashariki mwa Ukrain.

 

9 years ago

Michuzi

NHIF yateta na NIDA kuhusu vitambulisho

Na Grace Michael
Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya umekutana na Uongozi wa Mamlaka ya Vitambulisho (NIDA) kwa lengo la kubadilishana uzoefu na changamoto katika suala la utambuzi wa watumiaji wa huduma za vitambulisho.
Hatua hiyo ya NHIF kukutana na uongozi huo inakusudia kurahisisha upatikanaji wa huduma kwa wanachama wake ambao tayari wana vitambulisho vya Taifa.
Akizungumzia hatua hiyo, Kaimu Mkurugenzi wa NHIF Bw. Michael Mhando, amesema Mfuko wake umeona kuna umuhimu mkubwa wa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Ukraine hali sio hali-22 wauawa

Angalau watu 22 wameuawa katika ghasia zilizozuka upya kati ya waandamanaji na polisi mjini Kiev Ukraine, baada ya makubaliano yaliyofikiwa kutibuka.

 

11 years ago

BBCSwahili

EU yashindwa na hali Ukraine

Wajumbe wa Umoja wa Ulaya wamelazimika kuondoka mjini Kiev bila kukutana na Rais Vitor Yanukovic kutokana na utovu wa usalama

 

10 years ago

BBCSwahili

Hali ya Mashariki mwa Ukraine ni tete

Hali ya Mashariki mwa Ukraine yaelezwa kuwa mbaya,Raia waathirika

 

11 years ago

BBCSwahili

Hali yatokota mjini Kiev, Ukraine

Upinzani huko Ukrain umeapa kutotoka uwanja wa uhuru wanakoendeleza maandamano dhidi ya serikali

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani yaombwa silaha Ukraine

Mkuu wa baraza la kamati ya mahusiano ya Marekani ameiomba nchi yake kupeleka silaha Ukraine ili kukabiliana na uvamizi wa Urusi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani itapeleka silaha Ukraine?

Rais wa Marekani Barack Obama amesema kuwa Marekani inatafakari kupeleka silaha Ukraine kukabili waasi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani