Marekani yateta kuhusu hali Ukraine
Marekani imeitaka Urusi kukoma kuvuruga hali ya mambo katika eneo la mashariki mwa Ukraine ambako majengo ya serikali yametekwa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili07 Feb
Marekani na EU njia panda kuhusu Ukraine
Marekani imejipata taabani baada ya mazungumzo ya wanadiplomasia wake wakuu kubainisha kuwa inapendelea upinzani Ukraine
11 years ago
BBCSwahili13 Apr
Marekani yaionya Urusi kuhusu Ukraine.
Marekani imeonyesha wasiwasi wake kuhusu kile ilichokitaja kama hatua ya Urusi kuchochea ghasia mashariki mwa Ukrain.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-h34Z58m713o/VdyvoYgjHtI/AAAAAAAHz-g/UMPQAjY8Iwo/s72-c/Kaimu%2BMkurugenzi%2BMkuu%2Bwa%2BMfuko%2Bwa%2BTaifa%2Bwa%2BBima%2Bya%2BAfya%2BMichael%2BMhando.jpg)
NHIF yateta na NIDA kuhusu vitambulisho
![](http://3.bp.blogspot.com/-h34Z58m713o/VdyvoYgjHtI/AAAAAAAHz-g/UMPQAjY8Iwo/s400/Kaimu%2BMkurugenzi%2BMkuu%2Bwa%2BMfuko%2Bwa%2BTaifa%2Bwa%2BBima%2Bya%2BAfya%2BMichael%2BMhando.jpg)
Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya umekutana na Uongozi wa Mamlaka ya Vitambulisho (NIDA) kwa lengo la kubadilishana uzoefu na changamoto katika suala la utambuzi wa watumiaji wa huduma za vitambulisho.
Hatua hiyo ya NHIF kukutana na uongozi huo inakusudia kurahisisha upatikanaji wa huduma kwa wanachama wake ambao tayari wana vitambulisho vya Taifa.
Akizungumzia hatua hiyo, Kaimu Mkurugenzi wa NHIF Bw. Michael Mhando, amesema Mfuko wake umeona kuna umuhimu mkubwa wa...
11 years ago
BBCSwahili20 Feb
Ukraine hali sio hali-22 wauawa
Angalau watu 22 wameuawa katika ghasia zilizozuka upya kati ya waandamanaji na polisi mjini Kiev Ukraine, baada ya makubaliano yaliyofikiwa kutibuka.
11 years ago
BBCSwahili20 Feb
EU yashindwa na hali Ukraine
Wajumbe wa Umoja wa Ulaya wamelazimika kuondoka mjini Kiev bila kukutana na Rais Vitor Yanukovic kutokana na utovu wa usalama
10 years ago
BBCSwahili05 Feb
Hali ya Mashariki mwa Ukraine ni tete
Hali ya Mashariki mwa Ukraine yaelezwa kuwa mbaya,Raia waathirika
11 years ago
BBCSwahili19 Feb
Hali yatokota mjini Kiev, Ukraine
Upinzani huko Ukrain umeapa kutotoka uwanja wa uhuru wanakoendeleza maandamano dhidi ya serikali
10 years ago
BBCSwahili01 Sep
Marekani yaombwa silaha Ukraine
Mkuu wa baraza la kamati ya mahusiano ya Marekani ameiomba nchi yake kupeleka silaha Ukraine ili kukabiliana na uvamizi wa Urusi.
10 years ago
BBCSwahili10 Feb
Marekani itapeleka silaha Ukraine?
Rais wa Marekani Barack Obama amesema kuwa Marekani inatafakari kupeleka silaha Ukraine kukabili waasi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania