NHIF yateta na NIDA kuhusu vitambulisho
![](http://3.bp.blogspot.com/-h34Z58m713o/VdyvoYgjHtI/AAAAAAAHz-g/UMPQAjY8Iwo/s72-c/Kaimu%2BMkurugenzi%2BMkuu%2Bwa%2BMfuko%2Bwa%2BTaifa%2Bwa%2BBima%2Bya%2BAfya%2BMichael%2BMhando.jpg)
Na Grace Michael
Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya umekutana na Uongozi wa Mamlaka ya Vitambulisho (NIDA) kwa lengo la kubadilishana uzoefu na changamoto katika suala la utambuzi wa watumiaji wa huduma za vitambulisho.
Hatua hiyo ya NHIF kukutana na uongozi huo inakusudia kurahisisha upatikanaji wa huduma kwa wanachama wake ambao tayari wana vitambulisho vya Taifa.
Akizungumzia hatua hiyo, Kaimu Mkurugenzi wa NHIF Bw. Michael Mhando, amesema Mfuko wake umeona kuna umuhimu mkubwa wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog08 Sep
NHIF yateta na wasanii BASATA
Meneja wa Mfuko wa Bima ya Afya ya Taifa NHIF tawi la Ilala Bw.Christopher Mapunda akizungumza na washiriki wa semina katika ya shirika hilo na Wasanii mbalimbali iliyofanyika kwenye ukumbi wa Baraa za la Sanaa nchini BASATA ili kupata elimu juu ya huduma za afya zinazotolewa na shirika hilo kwa vikundi mbalimbali na mashirika pamoja na taasisi mbalimbali za serikali, kulia ni Mkwabi Fikirini Meneja Udhibiti na ubora na Hans Mwankenja Ofisa Mwandamizi matekelezo.
Baadhi ya maofisa wa...
10 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/09/212.jpg?width=650)
NHIF YATETA NA WASANII BASATA
11 years ago
Michuzi27 Jun
NHIF YATETA NA WAHARIRI MJINI BAGAMOYO
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/06/154.jpg)
11 years ago
Michuzi30 Jun
NHIF YATETA NA WADAU WAKE WA MKOA WA DAR ES SALAAM
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/06/158.jpg)
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/06/234.jpg?width=650)
NHIF YATETA NA WADAU WAKE WA MKOA WA DAR ES SALAAM
11 years ago
Habarileo09 Feb
NIDA waomba uvumilivu vitambulisho vya taifa
MKURUGENZI wa Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa (NIDA), Dickson Maimu amewataka watanzania kuwa wavumilivu katika usajili wa vitambulisho ingawa inachukua muda mrefu kwa sababu kitambulisho wanachopata ni muhimu sana.
11 years ago
Mwananchi28 Jul
Nida yafafanua uchukuaji vitambulisho vya taifa
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QyrvypSsmb0/XoSGfxxSOYI/AAAAAAALlyU/LdCPpXrPTM4k55odiu57QhZMWXqnvbg8ACLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-1-768x452.jpg)
SIMBACHAWENE-MASHINE MPYA KUONGEZA UZALISHAJI WA VITAMBULISHO NIDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-QyrvypSsmb0/XoSGfxxSOYI/AAAAAAALlyU/LdCPpXrPTM4k55odiu57QhZMWXqnvbg8ACLcBGAsYHQ/s640/PICHA-1-768x452.jpg)
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene akizungumza katika Mkutano na Waandishi wa Habari uliofanyika leo katika Ukumbi wa wizara, jijini Dodoma, ambapo ameahidi kuwashughulikia watendaji wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa(Nida) wasiotoa huduma stahiki kwa wananchi wanaofika kuomba vitambulisho.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/PICHA-2-1024x623.jpg)
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene akiteta jambo na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida), Dkt. Anold Kihaule (kulia) wakati wa Mkutano na...
5 years ago
Global Publishers21 Feb
NIDA Yatoa Vitambulisho Vya Taifa Kwa Wabunge
Waziri wa Nishati na Madini na Mbunge wa jimbo la Musoma, Mhe.Profesa Sospeter Muhongo
akipokea Kitembulisho chake cha Taifa chenye saini kwa furaha kubwa kutoka kwa Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Na Hifadhi Hati NIDA. Bi. Rose Mdami.
Waziri wa Katiba na na Sheria Dk. Harrison Mwakyembe, akiwa mwenye furaha kubwa baada ya kuchukua Kitambulisho chake kipya Bungeni Dodoma. NIDA imeanza kutoa vitambulisho vipya vyenye saini kwa viongozi wakiwemo Waheshimiwa Wabunge zoezi linaloedelea...